PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo
Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog, ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu ya maradhi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WO5mDj01tcQ/VQh1v_UlN5I/AAAAAAAHLIw/MDfGpIZk9AY/s72-c/1.jpg)
Kocha wa Zamani wa Taifa Stars,marehemu Sylvester Marsh azikwa leo jijini Mwanza
![](http://3.bp.blogspot.com/-WO5mDj01tcQ/VQh1v_UlN5I/AAAAAAAHLIw/MDfGpIZk9AY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bJPHSmsAeyg/VQhrlhlwdnI/AAAAAAABL5A/_QDH4Rn4BDE/s1600/19.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MARSH AFARIKI DUNIA
11 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-ajvWrqtOt1g/UuyrGfE9RQI/AAAAAAAAqOE/4T5aPkZj4-0/s1600/pw105-125-2013-165105-high-jpg.jpg)
KOCHA ALIYEIPA SPAIN UBINGWA WA ULAYA AFARIKI DUNIA LEO
11 years ago
Tanzania Daima26 Apr
Pigo Simba, Muchacho afariki Dunia
MWANACHAMA maarufu wa klabu ya Simba na mwasisi wa kundi la ushangiliaji la Muchacho, lenye maskani yake Manzese, jijini Dar es Salaam, Abrahaman Muchacho, amefariki dunia. Kwa mujibu wa Ofisa...
9 years ago
Dewji Blog24 Sep
Waziri Celina Kombani afariki dunia nchini India leo, mwili wake watarajiwa kuwasili nchini JUMATATU
Majonzi makubwa lufuatia taarifa za msiba jioni ya leo Septemba 24.2015, Aliyekuwa Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeshi Kombani (56), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani.
Tayari mamlaka husika ikiwemo Serikali na Bunge kupitia ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kubainisha kuwa, mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Tanzania, siku ya Jumatatu, na shughuli zote Bunge na Serikali zitasimamia...
10 years ago
Vijimambo15 Mar
Kocha Silvester Marsh alivyoagwa Muhimbili leo
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/marsh-1.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/marsh-2.jpg)
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/marsh-3.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
PIGO LINGINE BONGO MUVI: GEORGE TYSON AFARIKI DUNIA
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-UOz7nUMNgdQ/VgQ73p3EvUI/AAAAAAAH7CA/ypIW3QmnEAs/s72-c/download%2B%25281%2529.jpg)
STOP PRESS: WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-UOz7nUMNgdQ/VgQ73p3EvUI/AAAAAAAH7CA/ypIW3QmnEAs/s1600/download%2B%25281%2529.jpg)
Taarifa kutoka ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kueleza kwamba mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Dar es salaam siku ya Jumatatu, ambapo Bunge na Serikali zitasimamia maandalizi yote ya maziko na kumsafirisha kwa mazishi nyumbani kwa...