KOCHA ALIYEIPA SPAIN UBINGWA WA ULAYA AFARIKI DUNIA LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-ajvWrqtOt1g/UuyrGfE9RQI/AAAAAAAAqOE/4T5aPkZj4-0/s1600/pw105-125-2013-165105-high-jpg.jpg)
Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Hispania Luis Aragones amefariki dunia, akiwa na miaka 75, jumamosi ya leo katika clinic moja jijini Madrid, daktari Pedro Guillen amethibitisha. Kocha huyu atakumbukwa kwa kuiongoza Hispania katika awamu mpya ya mafanikio mnamo mwaka 2008, alipoiwezesha timu hiyo kutwaa kombe la EURO na baada ya hapo alistaafu na kumpisha Del Bosque. Aliifundisha Spain kuanzia mwaka 2004 - 2008. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo
Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog, ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu ya maradhi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MARSH AFARIKI DUNIA
10 years ago
CloudsFM14 Mar
ALIYEKUWA KOCHA MSAIDIZI WA TAIFA STARS AFARIKI DUNIA
![](http://api.ning.com/files/4iGGfOEDaytTvsWqu-EI2X0d2SSAqVMkc89saVv56HPiDz03xp3gD8KVMqbyYSNnntF0yzq5JQZV2XO9B7YNjTRrwTp3maA-/MARSHHHHHH.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-CuMmeMN-_h4/U3gYTNU0TUI/AAAAAAAFils/Bw6czVuu8lM/s72-c/Atl-tico-Madrid-celebrate-011.jpg)
Atlético Madrid yampoka Barcelona Ubingwa wa Spain
![](http://4.bp.blogspot.com/-CuMmeMN-_h4/U3gYTNU0TUI/AAAAAAAFils/Bw6czVuu8lM/s1600/Atl-tico-Madrid-celebrate-011.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MEZ B AFARIKI DUNIA LEO DODOMA
11 years ago
Habarileo22 Apr
DC Chang'a afariki dunia, kuagwa leo
MKUU wa Wilaya ya Kalambo, Moshi Chang’a amefariki dunia na mwili wake utaagwa leo jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Stella Manyanya aliliambia gazeti hili jana kwamba Chang’a alifariki juzi katika Hospitali ya Taifa Muhimbili.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-SPuM4eOYkxU/VJFb6VSckHI/AAAAAAAG3xM/tVCB4A7j99I/s72-c/unnamed%2B(66).jpg)
JUST IN: mnenguaji aisha madinda afariki dunia leo
10 years ago
Vijimambo20 Feb
MSANII MEZ B AFARIKI DUNIA LEO DODOMA
![](http://api.ning.com/files/cGEsfZahF3v21JSeEu73srVOoCxhPMpPVIAO*sxCvpifgZaBCdfCdBsuE86Gi9bsXA17BQz5hjFBex1zjYHksFZA7-bcP1jm/MezB1.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Wm92B82SWdg/VKkYQTYtGEI/AAAAAAAG7Ik/c7gsRPTqzdQ/s72-c/B6fz4cdCIAAx9lG.jpg)
mtoto wa Raila Odinga afariki Dunia leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-Wm92B82SWdg/VKkYQTYtGEI/AAAAAAAG7Ik/c7gsRPTqzdQ/s1600/B6fz4cdCIAAx9lG.jpg)
Taarifa za awali zilieleza kuwa, Fidel alitoka nyumbani kwake jana usiku kwa lengo la kujumuika na marafiki zake kwa matembezi na burudani za mwisho wa wiki na alirejea nyumbani kwake alfajiri ya leo na haijulikani ni nini kilichosababisha kifo chake.
Maafisa wa Jeshi la Polisi nchini Kenya,wameanzisha uchunguzi kuhusiana na...