Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Atlético Madrid yampoka Barcelona Ubingwa wa Spain

Wachezaji wa Atlético Madrid wakishangilia ushindi wao dhidi ya Barcelona jana.   Baada ya kuisambaratisha Real Madrid katika uwanja wao wa Santiago Bernabeu na kunyakua kombe la Copa del Rey (Kombe la Mfalme) mwaka uliopita,  Atlético Madrid jana wamefanya maajabu mengine baada ya kunyakua ubingwa wa La Liga mkononi mwa Barcelona ya kina Messi kwa kutoka nao droo ya 1-1.  Ni ubingwa wao wa kwanza katika miaka 18. Kifuatacho ni kucheza fainali za  mabingwa wa Ulaya baada ya miaka 40! Mambo...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The New York Times

Atlético Madrid Takes Early Lead to Beat Liverpool

Atlético Madrid Takes Early Lead to Beat Liverpool  The New York TimesOpinion: Liverpool’s Champions League specialist Mohamed Salah can make the difference against Atletico Madrid  CaughtOffsideAtletico Madrid 1-0 Liverpool: Diego Simeone masterclass earns Atleti first-leg victory  GIVEMESPORT'It doesn't really faze me' - Alexander-Arnold unconcerned by Cafu's Ballon d'Or talk  Goal.comAtlético 1-0 Liverpool: Saúl Ñíguez gives Simeone's side advantage  UEFA.comView Full coverage on Google...

 

11 years ago

GPL

KOCHA ALIYEIPA SPAIN UBINGWA WA ULAYA AFARIKI DUNIA LEO

Kocha wa zamani wa timu ya taifa ya Hispania Luis Aragones amefariki dunia, akiwa na miaka 75, jumamosi ya leo katika clinic moja jijini Madrid, daktari Pedro Guillen amethibitisha. Kocha huyu atakumbukwa kwa kuiongoza Hispania katika awamu mpya ya mafanikio mnamo mwaka 2008, alipoiwezesha timu hiyo kutwaa kombe la EURO na baada ya hapo alistaafu na kumpisha Del Bosque. Aliifundisha Spain kuanzia mwaka 2004 - 2008. ...

 

5 years ago

RFI

Spain ministry cancels Placido Domingo participation in Madrid show

Spain ministry cancels Placido Domingo participation in Madrid show  RFIPlácido Domingo apologises to women who accused him of sexual harassment  BBC NewsPlácido Domingo Performances in Madrid Are Canceled After Inquiry  The New York TimesLegendary opera star Placido Domingo accepts ‘full responsibility’ for harassment allegations, after MeToo pressure mounts  RTInvestigation of opera star concludes  NewsyView Full coverage on Google...

 

11 years ago

BBCSwahili

R.Madrid yashinda ubingwa wa ulaya

Timu ya Real Madrid imewacharaza mahasimu wao wa jadi katika ligi ya uhispania Atletico Madrid mabao 4 kwa moja katika fainal.

 

11 years ago

BBCSwahili

Barcelona 1-1 Athletico Madrid

Atletico Madrid na Barcelona zatoka sare ya 1-1 katika robo fainali ya kombe la mabingwa

 

5 years ago

Goal

‘Ronaldo has left door open for Real Madrid return’ – Fonte can see Juventus star heading back to Spain

‘Ronaldo has left door open for Real Madrid return’ – Fonte can see Juventus star heading back to Spain  GoalCristiano Ronaldo to become first billionaire footballer after social media power-play  Mirror OnlineInside Cristiano Ronaldo’s £3.5k-a-week fishing village home he’s sharing with Georgina Rodriguez and kids  The SunThe challenge Cristiano Ronaldo posed to Manchester United coaches  Manchester Evening NewsCristiano Ronaldo's New Look Reveals The Dangers Of Letting Your Partner Cut...

 

9 years ago

BBCSwahili

Real Madrid 0-4 Barcelona El Clasico

Kocha wa Madrid,Rafael Benitez anawashauri vijana wake wasiomboleze sana kufuatoa kichapo cha 0-4 dhidi ya Barcelona katika mechi ya El Clasico.

 

10 years ago

GPL

Tutawapwelepweta, Barcelona vs Real Madrid

BARCELONA, Hispania SIRI ni moja ni kuwa kama Real Madrid inahitaji kutwaa ubingwa wa La Liga msimu huu basi inatakiwa kuhakikisha haipotezi mchezo wa keshokutwa Jumapili dhidi ya Barcelona kwenye Uwanja wa Camp Nou. Takwimu zinaonyesha kuwa mechi za miaka ya hivi karibuni baina ya timu hizo ambayo inajulikana kwa jina la El Clásico, huwa inakuwa na faida kwa Madrid kama inashinda kwenye uwanja huo unaomilikiwa na Barcelona....

 

10 years ago

BBCSwahili

Real Madrid yachapwa na Barcelona 2 - 1

Real Madrid jana ilidondokea pua katika mechi ya kukata na shoka baina yake na mahasimu wao Barcelonakukubali kichapo cha magoli 2 -1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani