Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Ronaldo has left door open for Real Madrid return’ – Fonte can see Juventus star heading back to Spain

‘Ronaldo has left door open for Real Madrid return’ – Fonte can see Juventus star heading back to Spain  GoalCristiano Ronaldo to become first billionaire footballer after social media power-play  Mirror OnlineInside Cristiano Ronaldo’s £3.5k-a-week fishing village home he’s sharing with Georgina Rodriguez and kids  The SunThe challenge Cristiano Ronaldo posed to Manchester United coaches  Manchester Evening NewsCristiano Ronaldo's New Look Reveals The Dangers Of Letting Your Partner Cut...

Goal

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Juventus yaiangusha Real Madrid

Katika hali isiyotarajiwa Juventus ya Italia imeingia fainali ya klabu bingwa barani Ulaya ,kwa goli 3 kwa 2 dhidi Real Madrid ya Hispania.

 

10 years ago

BBCSwahili

Juventus yaichapa Real Madrid 2-1 UEFA

Timu ya Juventus ya Italia imefanikiwa kuwabwaga mabingwa watetezi wa Kombe la Uefa, Real Madrid mabao 2-1

 

5 years ago

Mirror Online

Man Utd set Juventus and Real Madrid new asking price for Paul Pogba transfer

Man Utd set Juventus and Real Madrid new asking price for Paul Pogba transfer  Mirror OnlineOpinion: 5 youngsters who could break through at Manchester United next season  CaughtOffsidePaul Pogba and Mino Raiola have four reasons to stay at Manchester United  Manchester Evening NewsMan Utd's best line-up? Solskjaer could follow Les Bleus-print to integrate both Pogba and Fernandes  SquawkaDimitar Berbatov questions Paul Pogba and Bruno Fernandes partnership  The Peoples PersonView Full...

 

9 years ago

Dewji Blog

Hii ndiyo hatma ya Benitez Real Madrid, Ancelotti anena kuhusu kurudi Madrid na Menzes kuhusu uhamisho wa Ronaldo

rafa-benitez-579850

Kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Hatimaye hatma ya kocha wa Real Madrid, Rafa Benitez imefahamika baada ya kuwepo sintofahamu kama anabaki katika klabu hiyo au anaondoka kufuatia kipigo cha mbwa mwizi cha goli 4 bila kutoka kwa wapinzani wao wakubwa Barcelona.

Usiku wa jumatatu, Rais wa Real Madrid, Florentino Perez amesema kuwa kubarua cha kocha Benitez kipo salama na ataendelea na kazi yake kama kawaida licha ya uvumi kuwa anafukuzwa kazi kutokana na kipigo...

 

10 years ago

Vijimambo

TIMU YA JUVENTUS YATINGA FAINALI YA LIGI YA MABINGWA BARANI ULAYA BAADA YA KUIONDOSHA REAL MADRID

Mabingwa watetezi wa kombe la ligi ya mabingwa barani Ulaya, timu ya soka ya Real Madrid ya Hispania usiku wa kuamkia leo wamevuliwa ubingwa huo na bibi kizee cha Turin, Juventus ya Italia baada ya kulazimishwa sare ya kufungana bao 1-1. 
Katika mchezo huo wa marudiano wa hatua ya nusu fainali ya ligi ya mabingwa Ulaya, Juventus imesonga mbele kwa idadi ya mabao 3-2. Katika mchezo wa kwanza uliochezwa Italia, Juventus iliifunga Real Madrid magoli 2-1. Katika mchezo wa usiku wa kuamkia leo,...

 

9 years ago

Mtanzania

Ronaldo aweka rekodi mpya Real Madrid

ronaldo_2477234bMADRID, HISPANIA

STAA wa timu ya Real Madrid, Cristiano Ronaldo, ni rasmi sasa amekuwa mfungaji bora wa muda wote wa klabu hiyo akifunga mabao 324 kwenye mechi 310.

Rekodi hiyo ameiweka juzi alipofunga bao moja wakati wakiilaza Levante mabao 3-0, mengine yakifungwa na Jesena Marcelo.

Tayari Real Madrid ilikuwa ikimtambua Ronaldo kuweka rekodi hiyo kabla ya mchezo huo, wakihesabia bao la faulo alilofunga dhidi ya Malmo mwaka 2010 lililombabatiza Pepe na kujaa wavuni, limeshampa tuzo ya kiatu...

 

9 years ago

Bongo5

Ronaldo atastaafu soka akiwa Real Madrid – Jorge Mendes

2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471

Wakala maarufu wa Cristiano Ronaldo, Jorge Mendes amezifutilia mbali tetesi za uwezekano wa mshambuliaji huyo wa Real Madrid kuwa na mpango wa kuhamia klabu nyingine.

2F955BAD00000578-0-The_Portuguese_maestro_watched_the_Miami_Heat_agonisingly_lose_9-a-40_1451263483471
Ronaldo akishuhudia mchezo wa kikapu wa ligi ya NBA kati ya Miami Heat na Detroit Pistons ambapo Heat walishindwa kwa vikapu 93-92 December 22

Wakala huyo amedai kuwa Real Madrid ni timu ya mwisho mchezaji huyo kuichezea. Kulikuwepo na tetesi kuwa mchezaji huyo angependa kucheza na Paris Saint-Germain ya Ufaransa.

Akizungumza...

 

9 years ago

Bongo5

Ushauri wa David Beckham kama Cristiano Ronaldo ataondoka Real Madrid

david_beckham-759

David Beckham mchezaji wa zamani wa soka wa Man United, Real Madrid na timu ya taifa ya Uingereza, Beckham ni mchezaji ambaye alivyo ondoka Man United jezi yake namba saba ilirithiwa na Cristiano Ronaldo.

david_beckham-759

Beckham alipo kuwa kwenye interview alifunguka kuwa kama Cristiano Ronaldo atahama Real Madrid ni vizuri akirudi Man United,

“Sikuwahi kumshauri yoyote kurudi Man United, Cristiano amekuwa kama shabiki wa Man United kwani anaipenda na amefanya vizuri akiwa Old Trafford na kucheza kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani