Kocha Silvester Marsh alivyoagwa Muhimbili leo
Beki wa zamani wa timu ya soka ya Yanga na timu ya taifa, Bakari Malima ‘Jembe Ulaya’ akisukuma jeneza lililokuwa na mwili wa aliyekuwa Kocha Msaidizi timu ya taifa ‘Taifa Stars’ marehemu, Sylvester Marsh, wakati wa ibada ya kuaga mwili iliyofanyika katika Kanisa Katoliki la Muhimbili jijini Dar es Salaam, kabla ya kusafirishwa kuelekea jijini Mwanza kwa mazishi. (Picha na Francis Dande)Credit:ShaffihDauda
Mwanahamis Omary wa timu ya taifa ya Wanawake akiaga mwili wa Kocha Marsh.
Waombolezaji...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog14 Mar
PIGO WADAU WA SOKA NCHINI: Kocha Sylvester Marsh afariki dunia mapema leo
Marsh (kushoto) enzi za uhai wake akiwa na Kocha mkuu wa timu ya Taifa wakati huo, Kim Paulsen.
Na Andrew Chale wa Mo dewji blog
Habari zilizotufikiaa chumba cha habari cha mtandao huu wa Mo dewji blog, ni kuwa aliyekuwa Kocha Msaidizi wa timu ya soka ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Sylvester Marsh amefariki dunia alfajiri ya leo katika hospitali ya Muhimbili alikokuwa amelazwa.
Taarifa hizo zilibainisha kuwa, Marsh alipatwa na umauti huo alipokuwa akiendelea na matibabu ya maradhi...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WO5mDj01tcQ/VQh1v_UlN5I/AAAAAAAHLIw/MDfGpIZk9AY/s72-c/1.jpg)
Kocha wa Zamani wa Taifa Stars,marehemu Sylvester Marsh azikwa leo jijini Mwanza
![](http://3.bp.blogspot.com/-WO5mDj01tcQ/VQh1v_UlN5I/AAAAAAAHLIw/MDfGpIZk9AY/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-bJPHSmsAeyg/VQhrlhlwdnI/AAAAAAABL5A/_QDH4Rn4BDE/s1600/19.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
KOCHA MARSH AFARIKI DUNIA
10 years ago
GPLSylvestre Marsh: Kwa heri kocha
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/2.Makamu-wa-RaisDkt.Bilal-akielekea-kutoa-heshima-za-mwisho-kuuaga-mwili-wa-Celina-Kombani-katika-Viwanja-vya-Karim-Jee-Dar..jpg)
KOMBANI ALIVYOAGWA LEO VIWANJA VYA KARIMJEE JIJINI DAR!
9 years ago
MichuziWAZIRI WA AFYA ATEMBELEA HOSPITALI YA TAIFA MUHIMBILI LEO
11 years ago
Michuzi27 Apr
JK AZINDUA KITUO CHA MOYO KATIKA HOSPITALI YA TAIFA YA MUHIMBILI LEO
9 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo