Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
Safari ya kocha wa Mbeya City kutua Yanga imeiva baada ya jana kuwaaga rasmi wachezaji wake mazoezini.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi05 Feb
Wapinzani wa Yanga na Azam kutua Dar es salaam leo
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kocha Mwambusi matatani Mbeya
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mwambusi Kocha Bora 2013/14
KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City
9 years ago
StarTV08 Oct
Kocha Juma Mwambusi akiri ligi kuu ngumu.
Matokeo mabaya kwa timu ya Mbeya City yamendelea kumtia unyonge kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi na kueleza bayana ligi kuu ya Vodacom ni ngumu msimu huu wakati kocha msaidizi wa Stand United Athumani Bilal akifurahia kwa timu yake kufikisha pointi 9.
Makocha hao wametoa kauli hizo baada ya mchezo wa timu za Stand United na Mbeya City uliofanyika Jumapili katika dimba la CMM Kambarage mjini Shinyanga na wenyeji Stand waliibuka na ushindi wa bao 1 – 0.
Mchezo ulikuwa muhimu kwa...
11 years ago
Mwananchi25 Jan
Kocha Hans wa Yanga kumpanga Okwi leo?
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14
WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Mwambusi, Bushiri waitwa Yanga
10 years ago
Mwananchi13 Aug
Ziara Yanga yamkuna Mwambusi