Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mwambusi Kocha Bora 2013/14

KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14

WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi matatani Mbeya

Baadhi ya wadau na wapenzi wa Mbeya City wametoa ya mioyoni mwao wakisema falsafa na kiwango cha ufundishaji cha kocha Juma Mwambusi kimefikia mwisho na kusababisha timu hiyo kusuasua na kujikongoja kwenye Ligi Kuu msimu huu.

 

9 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi kutua Yanga leo

Safari ya kocha wa Mbeya City kutua Yanga imeiva baada ya jana kuwaaga rasmi wachezaji wake mazoezini.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City

Uongozi wa Mbeya City umesema hauna wazo la kuachana na kocha wao mkuu, Juma Mwambusi licha ya kufanya vibaya kwenye mechi saba za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

9 years ago

StarTV

Kocha Juma Mwambusi akiri ligi  kuu ngumu.

Matokeo mabaya kwa timu ya  Mbeya City yamendelea kumtia  unyonge  kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi na kueleza bayana ligi kuu ya Vodacom  ni ngumu msimu  huu wakati kocha msaidizi wa Stand United  Athumani Bilal akifurahia kwa timu yake  kufikisha pointi 9.

Makocha  hao  wametoa kauli hizo baada ya mchezo wa timu za Stand United na Mbeya City uliofanyika Jumapili  katika dimba la CMM Kambarage mjini Shinyanga na wenyeji Stand waliibuka na ushindi wa bao 1 – 0.

Mchezo ulikuwa muhimu kwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Shule bora 20 za Serikali 2013

Matokeo ya Mtihani wa Taifa wa Kidato cha Nne yaliyotoka hivi karibuni yanaweza kutazamwa kwa sura mbalimbali.

 

11 years ago

BBCSwahili

Ni ipi filamu bora zaidi ya 2013?

Filamu ''12 Years a Slave'', ni miongoni mwa filamu zinazopigiwa upatu kupata tuzo la filamu bora zaidi katika tamasha la filamu bora zaidi la Uingereza

 

11 years ago

BBCSwahili

Ronaldo Mchezaji bora wa dunia 2013

Mshambuliaji wa Real Madrid na timu ya taifa ya Ureno Christiano Ronaldo jana usiku alinyakua tuzo ya mchezajii bora wa soka wa fifa wa mwaka 2013.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani