Kocha Mwambusi matatani Mbeya
Baadhi ya wadau na wapenzi wa Mbeya City wametoa ya mioyoni mwao wakisema falsafa na kiwango cha ufundishaji cha kocha Juma Mwambusi kimefikia mwisho na kusababisha timu hiyo kusuasua na kujikongoja kwenye Ligi Kuu msimu huu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mwambusi Kocha Bora 2013/14
KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
10 years ago
StarTV08 Oct
Kocha Juma Mwambusi akiri ligi kuu ngumu.
Matokeo mabaya kwa timu ya Mbeya City yamendelea kumtia unyonge kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi na kueleza bayana ligi kuu ya Vodacom ni ngumu msimu huu wakati kocha msaidizi wa Stand United Athumani Bilal akifurahia kwa timu yake kufikisha pointi 9.
Makocha hao wametoa kauli hizo baada ya mchezo wa timu za Stand United na Mbeya City uliofanyika Jumapili katika dimba la CMM Kambarage mjini Shinyanga na wenyeji Stand waliibuka na ushindi wa bao 1 – 0.
Mchezo ulikuwa muhimu kwa...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14
WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Mwambusi aduwaza viongozi Mbeya
10 years ago
Habarileo31 Jul
Mbeya City kuendelea na Mwambusi
UONGOZI wa klabu ya Mbeya City unajipanga kusaini mkataba mpya na kocha Juma Mwambusi baada ya kufikia makubaliano kati ya pande zote mbili mwishoni mwa juma hili.
10 years ago
Mwananchi16 Nov
Mwambusi ajiengua Mbeya City
10 years ago
Tanzania Daima17 Nov
Mwambusi azua balaa Mbeya City
UAMUZI wa kujiuzulu kuinoa klabu ya Mbeya City aliochukua kocha mkuu Juma Mwambusi, umeibua hali ya sintofahamu ndani ya kikosi hicho, huku uongozi wa juu wa timu hiyo ukisisitiza kuwa...