Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbeya City kuendelea na Mwambusi

UONGOZI wa klabu ya Mbeya City unajipanga kusaini mkataba mpya na kocha Juma Mwambusi baada ya kufikia makubaliano kati ya pande zote mbili mwishoni mwa juma hili.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mwambusi ajiengua Mbeya City

Kocha Juma Mwambusi ameuandikia barua uongozi wa Mbeya City ya kubwaga manyanga kuinoa timu hiyo kwa kuchoshwa na kelele za shutuma dhidi yake.

 

10 years ago

Mwananchi

Mwambusi aisuka upya Mbeya City

Kocha Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amesema tatizo kubwa kwa sasa katika kikosi chake ni safu ya ushambuliaji ambayo ameendelea kuisuka ili wafanye vyema Ligi Kuu Bara itakapoendelea.

 

10 years ago

Mwananchi

Sababu za Mwambusi kujiuzulu Mbeya City

Mbeya City imekuwa timu ya pili msimu huu kuondokewa na kocha wake baada ya Ndanda FC kumtimua kocha wao Dennis Kitambi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mwambusi azua balaa Mbeya City

UAMUZI wa kujiuzulu kuinoa klabu ya Mbeya City aliochukua kocha mkuu Juma Mwambusi, umeibua hali ya sintofahamu ndani ya kikosi hicho, huku uongozi wa juu wa timu hiyo ukisisitiza kuwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mwambusi atuliza mashabiki Mbeya City

KOCHA Mkuu wa Mbeya City, Juma Mwambusi amewataka wapenzi na mashabiki wa timu hiyo kuwa na moyo wa subira pale timu hiyo inapopata matokeo mabaya kwenye Ligi Kuu kwa kuwa bado ni mwanzo wa msimu.

 

10 years ago

TheCitizen

Mwambusi seeks Mbeya City tonic

Mbeya City head coach Juma Mwambusi has blamed lack of commitment among his players as a reason for making a shoddy start to the 2014/15 Vodacom Premier League. Mbeya City, who finished third last season are languishing at the bottom of the 14-team table with five points after seven matches.

 

10 years ago

Mwananchi

Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City

Uongozi wa Mbeya City umesema hauna wazo la kuachana na kocha wao mkuu, Juma Mwambusi licha ya kufanya vibaya kwenye mechi saba za mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Tanzania Bara.

 

11 years ago

TheCitizen

Mwambusi says City gun for glory

Mbeya City, the Mainland representatives at the Cecafa Nile Basin Cup Winners Cup, will open their campaign with a tricky match against El Merreikh Al Fasher of Sudan on May 23 in Khartoum.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani