Kocha Juma Mwambusi akiri ligi kuu ngumu.
Matokeo mabaya kwa timu ya Mbeya City yamendelea kumtia unyonge kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi na kueleza bayana ligi kuu ya Vodacom ni ngumu msimu huu wakati kocha msaidizi wa Stand United Athumani Bilal akifurahia kwa timu yake kufikisha pointi 9.
Makocha hao wametoa kauli hizo baada ya mchezo wa timu za Stand United na Mbeya City uliofanyika Jumapili katika dimba la CMM Kambarage mjini Shinyanga na wenyeji Stand waliibuka na ushindi wa bao 1 – 0.
Mchezo ulikuwa muhimu kwa...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri wa Fedha akiri hali ngumu
11 years ago
Tanzania Daima29 May
Mwambusi Kocha Bora 2013/14
KOCHA wa timu ya Mbeya City, Juma Mwambusi, ameibuka Kocha Bora wa Ligi Kuu Tanzania Bara iliyofikia tamati Aprili 19, mwaka huu. Kwa ushindi huo, Mwambusi alijitwalia kitita cha sh...
10 years ago
Mwananchi14 Nov
Kocha Mwambusi matatani Mbeya
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Kocha Mwambusi kutua Yanga leo
10 years ago
Mwananchi13 Nov
Kocha Mwambusi bado anaaminika Mbeya City
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Mwambusi, Omog wapigiwa upatu Tuzo ya Kocha Bora VPL 2013/14
WADAU wa soka nchini wamempigia chapuo Kocha wa Mbeya City, Juma Mwambusi, kuwa ndiye kocha bora katika Ligi Kuu ya Vodacom (VPL), msimu wa 2013/14. Mbali na Mwambusi, kocha mwingine...
10 years ago
Habarileo03 Oct
Makocha: Ligi Kuu ngumu
MAKOCHA wa timu mbalimbali za Ligi Kuu wamekiri kuwa ligi hiyo msimu huu imekuwa ngumu kiasi cha kuzigawanya timu katika makundi mawili, kwa maana ya timu za daraja la juu na timu za daraja la chini.
10 years ago
Mwananchi09 Oct
Kocha Malawi akiri woga chanzo cha kipigo
10 years ago
StarTV02 Nov
Kocha wa kagera Suger akiri timu haiko sawa.
Baada ya kufungwa bao mbili kwa sifuri na mabingwa watetezi Timu ya Yanga,Kocha wa Kagera Sugar,Mohamed Richard maarufu kwa jina la Adolph,amesema timu yake ina matatizo.
Kocha huyo aliyeiongoza kwa michezo mitatu,tangu kuondoka kwa Kocha aliyekuwa akiifundisha,Mbwana Makata,amesema kuna kukosa umakini katika timu mambo ambayo atayarekebisha.
Kagera ilipoteza mchezo wake na Yanga ambapo ilichapwa magoli mawili kwa bila mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Mwinyi mjini Tabora ambapo goli la...