Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Waziri wa Fedha akiri hali ngumu

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amekiri Serikali kuwa katika hali ngumu, lakini akasema kuwa mkakati uliopo ni kudhibiti matumizi ili yaendane na fedha iliyopo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Waziri wa Fedha akiri udhaifu Bandari

Waziri wa Fedha, Saada Mkuya amesema, Serikali itabadilisha kanuni kwa malengo mahususi ya kudhibiti misamaha ya kodi.

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO AKISOMA HALI YA UCHUMI NCHINI

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Philip Mpango, akiwasilisha hali ya uchami nchini, Bungeni jijini Dodoma. Juni 11, 2020. ( Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

 

9 years ago

StarTV

Kocha Juma Mwambusi akiri ligi  kuu ngumu.

Matokeo mabaya kwa timu ya  Mbeya City yamendelea kumtia  unyonge  kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi na kueleza bayana ligi kuu ya Vodacom  ni ngumu msimu  huu wakati kocha msaidizi wa Stand United  Athumani Bilal akifurahia kwa timu yake  kufikisha pointi 9.

Makocha  hao  wametoa kauli hizo baada ya mchezo wa timu za Stand United na Mbeya City uliofanyika Jumapili  katika dimba la CMM Kambarage mjini Shinyanga na wenyeji Stand waliibuka na ushindi wa bao 1 – 0.

Mchezo ulikuwa muhimu kwa...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI WA FEDHA NA MIPANGO DK. PHILIP MPANGO AWASILISHA BUNGENI HALI YA UCHUMI NCHINI, LEO

Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, akiwasilisha Taarifa ya hali ya uchami nchini, Bungeni jijini Dodoma, leo. Taarifa kamili aliyoma Waziri Mpango tutaweka hapa baadaye.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wahadhiri walia hali ngumu

WAHADHIRI mbalimbali wa vyuo vikuu nchini wamelalamikia hali ngumu inayowakabili kutokana na serikali kuchelewa kuwalipa mshahara wa Desemba mwaka jana. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kwa nyakati tofauti, wahadhiri hao...

 

11 years ago

Mwananchi

Hali ni ngumu Bandari Tanga

Bandari ya Tanga imepoteza kiasi kikubwa cha mapato kutokana na hatua ya Serikali kusitisha shughuli za uagizaji na upakuaji mafuta kupitia bandari hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Jaji Mutungi: Hali ngumu Katiba mpya

>Kikao cha maridhiano kati ya CCM na Ukawa chini ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi kimeshindwa kufikia mwafaka.Habari zilizotufikia wakati tukioenda mitamboni kutoka kwa mjumbe wa CCM, January Makamba zilisema wameshindwa kuafikiana.

 

9 years ago

Bongo5

Kampeni zimewaokoa wasanii wa filamu, wengi walikuwa na hali ngumu ya kiuchumi — Mwakifamba

Rais wa Shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema ameshikwa na huzuni baada ya kushuhudia maisha ya wasanii wa filamu yakishuka ghafla kutokana na kazi zao kutowaingizia fedha. Mwakifamba ameuambia mtandao wa FilamuCentral kuwa wasanii wengi wamekosa msaada kutokana na kukosa sehemu ya kuuza kazi zao na kwamba kampeni zimeokoa jahazi. “Tasnia ya filamu […]

 

5 years ago

Michuzi

KUTEKELEZA SERA YA FEDHA YA KUONGEZA UKWASI KATIKA UCHUMI KUMESAIDIA KUPUNGUZA VIWANGO VYA RIBA MASOKO YA FEDHA-WAZIRI WA FEDHA DK.MPANGO



 
Na Said Mwisehe,Michuzi TV.
SERIKALI kupitia Benki Kuu (BoT) imeendelea kutekeleza sera ya fedha ya kuongeza ukwasi kwenye uchumi ambayo imesaidia kupunguza viwango vya riba katika masoko ya fedha hususan riba za mikopo na amana. 
Akizungumza leo Juni 11 mwaka 2020 Bungeni Mjini Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango, Dk.Philip Mpango amesema wastani wa riba za mikopo ya benki kwa ujumla katika kipindi cha Julai mwaka 2019 hadi Aprili mwaka 2020 ulipungua hadi asilimia 16.85 ikilinganishwa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani