Kampeni zimewaokoa wasanii wa filamu, wengi walikuwa na hali ngumu ya kiuchumi — Mwakifamba
Rais wa Shirikisho la filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba amesema ameshikwa na huzuni baada ya kushuhudia maisha ya wasanii wa filamu yakishuka ghafla kutokana na kazi zao kutowaingizia fedha. Mwakifamba ameuambia mtandao wa FilamuCentral kuwa wasanii wengi wamekosa msaada kutokana na kukosa sehemu ya kuuza kazi zao na kwamba kampeni zimeokoa jahazi. “Tasnia ya filamu […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo515 Oct
Stamina adai wasanii wengi wa filamu wanauza sura, wenye vipaji wachache
10 years ago
Bongo Movies08 Apr
Katibu wa Shirikisho la Filamu ang’olewa Uongozi, Alitaka kumng’oa Mwakifamba
Bodi ya shirikisho la filamu hapa nchini lamemuondoa taff Bishop Hiluka kuwa katibu wa shirikisho hilo kwa kusuka mipango ya kumng’oa Rais Mwakifwamba
NI kikao kilichochukua zaidi ya saa nane kujadili agenda kadhaa lakini iliyoonyesha kuwa ni hatari na kuchukua muda wa wajumbe ilikuwa ni mikakati inayosemekana kusukwa na katibu Bishop Hiluka kutaka kumng’oa rais wa shirikisho la Filamu Tanzania Simon Mwakifwamba, hatimaye Bodi kwa kupiga kura ikafikia muafaka kuwa katibu aachie ngazi na...
9 years ago
Bongo528 Sep
Dar kuna wasanii wengi wakali ila wengi hawana nidhamu — Producer T-Touch
5 years ago
BBCSwahili26 May
Virusi vya corona: Mambo ya kifedha yanayofaa kuzingatiwa katika nyakati ngumu za kiuchumi
11 years ago
Tanzania Daima04 Jan
Wahadhiri walia hali ngumu
WAHADHIRI mbalimbali wa vyuo vikuu nchini wamelalamikia hali ngumu inayowakabili kutokana na serikali kuchelewa kuwalipa mshahara wa Desemba mwaka jana. Wakizungumza na Tanzania Daima jana kwa nyakati tofauti, wahadhiri hao...
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Hali ni ngumu Bandari Tanga
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Waziri wa Fedha akiri hali ngumu
10 years ago
Bongo Movies24 Dec
Bei Mpya za Filamu:Mtitu Aendelea Kuwaponda Baadi ya Wasanii wa Filamu
Mtengenezaji wa filamu mkongwe hapa nchini, William Mtitu ameendela kuwaponda baadhi ya wasanii ambao wanafanya kazi na kampuni ya Steps Entertainment kwa kukubali kushisha bei ya kazi zao kutoka shilingi 3000/= hadi shilingi 1,500 /= kwa CD moja kwa rejareja.
Kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM, Mtitu aliweka picha hiyo hapo juu na kuandika maneno haya;
"Wakati tukiangaika maporini kushuti sinema zenye ubora wasanii wenzetu sijui tuite upumbavu au kutojielewa wanajifungia ndani na wàhindi...