Kocha Malawi akiri woga chanzo cha kipigo
Kocha msaidizi wa Malawi ‘The Flames’, Ramadhani Nsanzumo amesema uoga wa wachezaji wake ulisababisha wakapata kipigo kutoka kwa Taifa Stars, lakini wanawasubiri nyumbani kwani kuna silaha hatari waliziweka kando kwa ajili ya kuzitumia katika mchezo wa marudiano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Mar
AZAM FC YAMTIMUA KOCHA BAADA YA KIPIGO CHA UGENINI
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/OMOG.jpg)
Kwa mujibu wa taarifa iliyowekwa kwenye mtandao wa facebook wa Azam FC muda mfupi uliopita, Uongozi wa Azam FC umetangaza kumtimua raia huyo wa Cameroon.
Taarifa hiyo inasomeka: “Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.
Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu...
11 years ago
Michuzi03 Aug
BAADA YA KIPIGO CHA SERENGETI BOYS, MALINZI AKIRI UBOVU WA MAANDALIZI NA KUKOSEKANA KWA MFUMO SAHIHI WA SOKA LA VIJANA
![](https://4.bp.blogspot.com/-ID3VTryj8Jg/UmfM952qJhI/AAAAAAAAGy4/Q-FFd97-la4/s640/Jamal+Malinzi%28TFF-PRES+CANDIDATE%29.jpg)
11 years ago
Bongo523 Jul
Alikiba aweka wazi chanzo cha beef kati yake na Diamond, akiri yeye ni shabiki wa nyimbo za Platnumz lakini….!
11 years ago
CloudsFM09 Jul
KOCHA WA BRAZIL,LUIZ FELIPE SCOLARI AFUNGUKA BAADA YA KIPIGO CHA MABAO 7 KWA 1 DHDI YA UJERUMANI
"Ni wakati mbaya zaidi kuwahi kutokea katika kazi yangu ya ukocha na siku mbaya zaidi katika maisha yangu ya soka. Lakini maisha yanaendelea. Nani anawajibika kwa matokeo haya? Ni mimi, ni mimi. Lawama za matokeo haya mabaya zinaweza kutuhusisha wote, lakini mtu aliyeamua timu ya kucheza na mbinu nilikuwa mimi,alisema kocha huyo.
Lilikuwa chaguo langu. Tulijitahidi kufanya kila tuwezalo, tulicheza kwa kiwango chetu cha mwisho-lakini tumeishia dhidi ya timu kubwa ya Ujerumani. Hatukukata tamaa...
9 years ago
StarTV02 Nov
Kocha wa kagera Suger akiri timu haiko sawa.
Baada ya kufungwa bao mbili kwa sifuri na mabingwa watetezi Timu ya Yanga,Kocha wa Kagera Sugar,Mohamed Richard maarufu kwa jina la Adolph,amesema timu yake ina matatizo.
Kocha huyo aliyeiongoza kwa michezo mitatu,tangu kuondoka kwa Kocha aliyekuwa akiifundisha,Mbwana Makata,amesema kuna kukosa umakini katika timu mambo ambayo atayarekebisha.
Kagera ilipoteza mchezo wake na Yanga ambapo ilichapwa magoli mawili kwa bila mchezo uliochezwa kwenye uwanja wa Mwinyi mjini Tabora ambapo goli la...
9 years ago
StarTV08 Oct
Kocha Juma Mwambusi akiri ligi kuu ngumu.
Matokeo mabaya kwa timu ya Mbeya City yamendelea kumtia unyonge kocha wa timu hiyo Juma Mwambusi na kueleza bayana ligi kuu ya Vodacom ni ngumu msimu huu wakati kocha msaidizi wa Stand United Athumani Bilal akifurahia kwa timu yake kufikisha pointi 9.
Makocha hao wametoa kauli hizo baada ya mchezo wa timu za Stand United na Mbeya City uliofanyika Jumapili katika dimba la CMM Kambarage mjini Shinyanga na wenyeji Stand waliibuka na ushindi wa bao 1 – 0.
Mchezo ulikuwa muhimu kwa...
9 years ago
StarTV02 Jan
Kocha Matola akiri kuwepo na ushindani. ligi dalaja la kwanza Â
Wakati ligi soka daraja la kwanza Taifa itaendelea Jumamosi hii kwenye miji mbalimbali,kocha mkuu wa timu ya Geita Gold Sports Suleiman Matola amekiri michuano hiyo si lele mama kutokana na kila timu kuonesha ushindani.
Mtaalamu huyo wa ufundi amebainisha pamoja na timu yake kuongoza kundi lao C wakiwa na pointi 17 lakini hawatofautiana sana kwa pointi na wapinzani wao kwenye kundi hilo.
Kocha Matola amesema michuano ya ligi daraja la kwanza ushindani wake umechochewa na timu nyingi...
10 years ago
Mwananchi31 Mar
Ngassa, Samata wamliza kocha Malawi
9 years ago
StarTV24 Aug
Timu ya Ngassa yapata kipigo cha mbwa mwizi cha 4-0
![](http://2.bp.blogspot.com/-O3yxJUEbx6U/VdmZnmQQGuI/AAAAAAABm1I/-CU5iUl2nIw/s640/13dc4207e53088253da60d7926d652d7.jpg)
TIMU ya Free State Stars yenye Mtanzania, Mrisho Khalfan Ngassa imefungwa mabao 4-0 jana na Kaizer Chiefs katika mchezo wa Ligi Kuu ya ABSA Afrika Kusini Uwanja wa FNB, Johannesburg.
Huo unakuwa mchezo wa pili Free State kufungwa, baada ya wiki mbili zilizopita kufungwa 1-0 nyumbani na Mpumalanga Blac Aces.
Katika mchezo wa jana ambao Ngassa hakucheza, mabao ya Kaizer Chiefs yalifungwa na Siboniso Gaxa dakika ya 34,...