Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kocha Matola akiri kuwepo na ushindani. ligi dalaja la kwanza  

 

Wakati ligi soka daraja la kwanza Taifa itaendelea Jumamosi hii kwenye miji mbalimbali,kocha mkuu wa timu ya Geita Gold Sports Suleiman Matola amekiri michuano hiyo si lele mama kutokana na kila timu kuonesha ushindani.

Mtaalamu huyo wa ufundi amebainisha pamoja na timu yake kuongoza kundi lao C wakiwa na pointi 17 lakini hawatofautiana sana kwa pointi na wapinzani wao kwenye kundi hilo.

 Kocha Matola amesema michuano ya ligi daraja la kwanza ushindani wake umechochewa na timu nyingi...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Matola akiri michuano migumu

KOCHA msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amekiri michuano ya Kombe la Mapinduzi kuwa na ushindani mkali baada ya kukutana na changamoto kubwa kutoka kwa wapinzani wao. Simba kabla ya jana,...

 

11 years ago

GPL

Matola Kocha Mkuu Simba

Na Mwandishi Wetu
SELEMANI Matola ataonja utamu wa kuwa Kocha Mkuu Simba kwa zaidi ya saa 96 baada mwenye nafasi hiyo kuridhia aitumikie. Kocha Mkuu, Zdravko Logarusic, amekubali Matola apewe nafasi hiyo kuanzia leo Jumatatu hadi Ijumaa asubuhi atakapowasili akitokea kwao Croatia.
Chanzo kimesema hali hiyo inatokana na Logarusic kuchelewa kurejea nchini. “Kweli kocha katuambia atachelewa na nafasi ya ukocha mkuu apewa...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City

Hofu, hujuma na kusalitiana imetanda ndani ya ngome ya Mbeya City baada ya jana Mwenyekiti wa Tawi la Mwanjelwa, Wille Matala kutimuliwa.

 

9 years ago

StarTV

Sheikh Mkuu akiri kuwepo kwa uvunjifu wa taratibu maafa ya minna.

Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abu Bakari Zuberi Ali amekiri maafa yaliyotokea mjini Minna wakati wa kuhiji kuwa yametokana na uvunjwaji wa taratibu zilizowekwa na wenyeji.

Licha ya baadhi ya miili ya mahujaji kutoka Tanzania kupatikana na kuzikwa huko bado mpaka sasa zaidi ya mahujaji 16 hawajulikani walipo.

Baada ya kurejea nchini salama akitokea Saudi Arabia alikokwenda kuhiji, Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abu Bakari Ali anakutana na waandishi wa habari katika ofisi za BAKWATA na...

 

9 years ago

StarTV

Gerefa yaingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Suleiman Matola.

 

Hatimaye Chama Cha Mpira Mkoa wa Geita Gerefa kimeingia mkataba na Suleiman Matola kuwa kocha Mkuu wa Timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anainoa ipasavyo kwa lengo la kuhakikisha inapanda daraja ambapo kwa sasa timu ya Geita Gold Sports ipo katika ligi  daraja la Kwanza Tanzania Bara.

Mwenyekiti wa Chamacha Gerefa Salum Kulunge amesema kocha Matola kwa uwezo alionao wa ufundishaji na mafanikia aliyonayo katika kuinua mchezo wa soka huku akiwaana leseni kubwa ya ufundishaji wa soka hapa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola aachana rasmi na klabu hiyo!

Matola5                                       Kocha Seleman Matola 

Na Rabi Hume

Kocha msaidizi wa klabu ya Simba SC, Selemani Matola ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na Simba kufuatia kutokuwepo kwa maelewano mazuri na kocha mkuu, Dyran Kerr.

Matola amesema kuwa kwa kipindi kirefu amekuwa hana maelewano mazuri na kocha huyo kwa kila jambo ambalo anamshauli kocha mkuu Kerr kuwa akikataa na hata muda mwingine kumtolea maneno ya dharau.

Aidha Matola amesema kuonyesha kuwa kocha huyo hakuwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushindani wazidi katika ligi ya EPL

Manchester City ilifunga mabao matatu katika kipindi cha kwanza dhidi ya West Bromwich licha ya barafu kuanguka katika uwanja huo

 

11 years ago

Mwananchi

Ligi Kuu yenye ushindani mkubwa inahitajika

Miaka ya 1980, tulishuhudia mashirika mengi ya umma yakishiriki kikamilifu kukuza michezo nchini, huku baadhi yakimiliki timu za soka hadi kufikia kucheza michuano mikubwa kama ya Ligi kuu.

 

11 years ago

GPL

MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA

Dar es Salaam, 7 Aprili 2014. Huku ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara ikiwa inaelekea ukingoni mdhamini Mkuu wa ligi hiyo  Vodacom Tanzania, wamesema wanavutiwa na ushindani ulipo katika mechi za sasa za ligi na mbio za ubingwa. Akizungumza punde baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Yanga na JKT Ruvu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na Ushindi wa Mabao 5 – 1. Meneja Uhususiano wa Nje wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani