Kocha Matola akiri kuwepo na ushindani. ligi dalaja la kwanza Â
Wakati ligi soka daraja la kwanza Taifa itaendelea Jumamosi hii kwenye miji mbalimbali,kocha mkuu wa timu ya Geita Gold Sports Suleiman Matola amekiri michuano hiyo si lele mama kutokana na kila timu kuonesha ushindani.
Mtaalamu huyo wa ufundi amebainisha pamoja na timu yake kuongoza kundi lao C wakiwa na pointi 17 lakini hawatofautiana sana kwa pointi na wapinzani wao kwenye kundi hilo.
Kocha Matola amesema michuano ya ligi daraja la kwanza ushindani wake umechochewa na timu nyingi...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Matola akiri michuano migumu
KOCHA msaidizi wa Simba, Selemani Matola, amekiri michuano ya Kombe la Mapinduzi kuwa na ushindani mkali baada ya kukutana na changamoto kubwa kutoka kwa wapinzani wao. Simba kabla ya jana,...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEC3sUsJox4LTkjAhfmIn0-*M1V8hWF9CWWuwKV-DLh7j8FKflEQk0WmEFVC8MTcdUw9OOTJ2eQgy0RMnUwUvnCMkjgt-1pi/matola.jpg?width=650)
Matola Kocha Mkuu Simba
11 years ago
Mwananchi15 Feb
Kocha Matola amponza kiongozi wa Mbeya City
9 years ago
StarTV06 Oct
Sheikh Mkuu akiri kuwepo kwa uvunjifu wa taratibu maafa ya minna.
Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abu Bakari Zuberi Ali amekiri maafa yaliyotokea mjini Minna wakati wa kuhiji kuwa yametokana na uvunjwaji wa taratibu zilizowekwa na wenyeji.
Licha ya baadhi ya miili ya mahujaji kutoka Tanzania kupatikana na kuzikwa huko bado mpaka sasa zaidi ya mahujaji 16 hawajulikani walipo.
Baada ya kurejea nchini salama akitokea Saudi Arabia alikokwenda kuhiji, Mufti Mkuu wa Tanzania, Sheikh Abu Bakari Ali anakutana na waandishi wa habari katika ofisi za BAKWATA na...
9 years ago
StarTV26 Nov
Gerefa yaingia mkataba wa mwaka mmoja na kocha Suleiman Matola.
Hatimaye Chama Cha Mpira Mkoa wa Geita Gerefa kimeingia mkataba na Suleiman Matola kuwa kocha Mkuu wa Timu hiyo kwa lengo la kuhakikisha anainoa ipasavyo kwa lengo la kuhakikisha inapanda daraja ambapo kwa sasa timu ya Geita Gold Sports ipo katika ligi daraja la Kwanza Tanzania Bara.
Mwenyekiti wa Chamacha Gerefa Salum Kulunge amesema kocha Matola kwa uwezo alionao wa ufundishaji na mafanikia aliyonayo katika kuinua mchezo wa soka huku akiwaana leseni kubwa ya ufundishaji wa soka hapa...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Kocha msaidizi wa Simba SC, Selemani Matola aachana rasmi na klabu hiyo!
Kocha Seleman Matola
Na Rabi Hume
Kocha msaidizi wa klabu ya Simba SC, Selemani Matola ametangaza rasmi kuacha kufanya kazi na Simba kufuatia kutokuwepo kwa maelewano mazuri na kocha mkuu, Dyran Kerr.
Matola amesema kuwa kwa kipindi kirefu amekuwa hana maelewano mazuri na kocha huyo kwa kila jambo ambalo anamshauli kocha mkuu Kerr kuwa akikataa na hata muda mwingine kumtolea maneno ya dharau.
Aidha Matola amesema kuonyesha kuwa kocha huyo hakuwa...
10 years ago
BBCSwahili27 Dec
Ushindani wazidi katika ligi ya EPL
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Ligi Kuu yenye ushindani mkubwa inahitajika
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/IlN0UevPKmY4Tl0VAlFMuDoBg-Tdk3xDs9mhqiRR2gr4pZZPwxep0VDKcAAIF*mYj9Rtfoj4-z6EEbhyy9sAlRj2wKt7nZL-/Vodacom_new_logo.jpg?width=750)
MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA