Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ushindani wazidi katika ligi ya EPL

Manchester City ilifunga mabao matatu katika kipindi cha kwanza dhidi ya West Bromwich licha ya barafu kuanguka katika uwanja huo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

West Ham yapanda katika ligi ya EPL

West Ham wamerudi katika nafasi nzuri ya kushiriki katika mechi za kilabu bingwa Ulaya baada ya kuicharaza Hull City 3-0

 

11 years ago

Mwananchi

Ligi Kuu yenye ushindani mkubwa inahitajika

Miaka ya 1980, tulishuhudia mashirika mengi ya umma yakishiriki kikamilifu kukuza michezo nchini, huku baadhi yakimiliki timu za soka hadi kufikia kucheza michuano mikubwa kama ya Ligi kuu.

 

11 years ago

GPL

MDHAMINI MKUU WA LIGI KUU AKUNWA NA USHINDANI WA LALA SALAMA

Dar es Salaam, 7 Aprili 2014. Huku ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara ikiwa inaelekea ukingoni mdhamini Mkuu wa ligi hiyo  Vodacom Tanzania, wamesema wanavutiwa na ushindani ulipo katika mechi za sasa za ligi na mbio za ubingwa. Akizungumza punde baada ya kumalizika kwa mechi kati ya Yanga na JKT Ruvu iliyochezwa Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam na Yanga kuibuka na Ushindi wa Mabao 5 – 1. Meneja Uhususiano wa Nje wa...

 

9 years ago

StarTV

Kocha Matola akiri kuwepo na ushindani. ligi dalaja la kwanza  

 

Wakati ligi soka daraja la kwanza Taifa itaendelea Jumamosi hii kwenye miji mbalimbali,kocha mkuu wa timu ya Geita Gold Sports Suleiman Matola amekiri michuano hiyo si lele mama kutokana na kila timu kuonesha ushindani.

Mtaalamu huyo wa ufundi amebainisha pamoja na timu yake kuongoza kundi lao C wakiwa na pointi 17 lakini hawatofautiana sana kwa pointi na wapinzani wao kwenye kundi hilo.

 Kocha Matola amesema michuano ya ligi daraja la kwanza ushindani wake umechochewa na timu nyingi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Taathimini ya ligi kuu ya EPL

Mkufunzi wa Manchester united hatimaye amekiri kuwa ana mlinzi mmoja tu wa kati huku Arsene Wenger akiduwazwa na dakika 4

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za ligi ya EPL nchini Uingereza

Mancity kuchuana na Totenham huku Arsena ikiikaribisha nyumbani Huoll City nayo Chelsea ikigaragazana na Crystal Palace

 

9 years ago

BBCSwahili

RIPOTI ZA MECHI ZA LIGI YA EPL JUMAMOSI

Everton inachuana na Chelsea,Arsenal ikikabiliana na Stoke nayo Manchester United ikiialika Liverpool katika uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashabiki kukata kiu cha ligi ya EPL

Mashabiki wa Ligi kuu ya England watapoza kiu wikendi hii wakati Ligi hiyo itakapoanza rasmi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL

Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani