Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mashabiki kukata kiu cha ligi ya EPL

Mashabiki wa Ligi kuu ya England watapoza kiu wikendi hii wakati Ligi hiyo itakapoanza rasmi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Taathimini ya ligi kuu ya EPL

Mkufunzi wa Manchester united hatimaye amekiri kuwa ana mlinzi mmoja tu wa kati huku Arsene Wenger akiduwazwa na dakika 4

 

9 years ago

BBCSwahili

RIPOTI ZA MECHI ZA LIGI YA EPL JUMAMOSI

Everton inachuana na Chelsea,Arsenal ikikabiliana na Stoke nayo Manchester United ikiialika Liverpool katika uwanja wa Old Trafford.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za ligi ya EPL nchini Uingereza

Mancity kuchuana na Totenham huku Arsena ikiikaribisha nyumbani Huoll City nayo Chelsea ikigaragazana na Crystal Palace

 

10 years ago

BBCSwahili

Ushindani wazidi katika ligi ya EPL

Manchester City ilifunga mabao matatu katika kipindi cha kwanza dhidi ya West Bromwich licha ya barafu kuanguka katika uwanja huo

 

11 years ago

BBCSwahili

Ligi kuu ya EPL kuonyeshwa bure-Joburg

Mashabiki wa soka nchini Afrika Kusini watapata fursa ya kutizama mechi za ligi kuu ya England, katika bustani mpya itakayofunguliwa mjini Johannesburg mwisho wa mwezi huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL

Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea

 

10 years ago

BBCSwahili

West Ham yapanda katika ligi ya EPL

West Ham wamerudi katika nafasi nzuri ya kushiriki katika mechi za kilabu bingwa Ulaya baada ya kuicharaza Hull City 3-0

 

10 years ago

Africanjam.Com

RATIBA KAMILI YA LIGI KUU YA UINGEREZA "EPL" 2015/16

Msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza 2015-2016 maaufu kama EPL unatarajia kuanza kutimua vumbi mwezi Agosti 8 mwaka huu kwa vilabu vyote 20 ambavyo vinashiriki ligi hiyo kukipiga kwenye siku ya kwanza ya ufunguzi wa ligi hiyo ambapo klabu ya Chelsea waliibuka mabingwa wa msimu uliopita wa 2014-2015.
Ratiba ya msimu mzima wa EPL 2015-2016 
August 8Bournemouth v Aston VillaArsenal v West Ham UnitedChelsea v Swansea CityEverton v WatfordLeicester City v SunderlandManchester United v Tottenham...

 

10 years ago

Africanjam.Com

MPIRA UTAKAOTUMIKA KWENYE LIGI YA UINGEREZA "EPL" 2015/16

Imebaki miezi miwili barani Ulaya kabla ya Ligi mbalimbali kuanza kutimua vumbi, mpira rasmi utakaotumika kwenye ligi ya England tayari umefahamika.Mpira huo umebuniwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya Kimarekani ya Nike ambapo utakuwa unafahamika kwa jina la Nike Ordem na umetengenezwa kwa kuzingatia teknolojia ya kisasa ambayo inaendana na mabadiliko ya mchezo wa soka.

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani