Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA KAMILI YA LIGI KUU YA UINGEREZA "EPL" 2015/16

Msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza 2015-2016 maaufu kama EPL unatarajia kuanza kutimua vumbi mwezi Agosti 8 mwaka huu kwa vilabu vyote 20 ambavyo vinashiriki ligi hiyo kukipiga kwenye siku ya kwanza ya ufunguzi wa ligi hiyo ambapo klabu ya Chelsea waliibuka mabingwa wa msimu uliopita wa 2014-2015.
Ratiba ya msimu mzima wa EPL 2015-2016 
August 8Bournemouth v Aston VillaArsenal v West Ham UnitedChelsea v Swansea CityEverton v WatfordLeicester City v SunderlandManchester United v Tottenham...

africanjam.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Jamtz.Com

9 years ago

Bongo5

Ratiba ya mechi za ligi kuu Uingereza wikiendi hii

Ligi kuu ya Uingereza inatarajiwa kuendelea wikiendi hii. Mechi kali inatarajiwa kuwa kati ya vinara wa ligi, Manchester United dhidi ya Arsenal katika dimba la Emirates siku ya Jumapili. Hii ndio ratiba kamili: Jumamosi 3 Oktoba 14:45 Crystal Palace v. West Brom 17:00 Aston Villa v. Stoke 17:00 Bournemouth v. Watford 17:00 Man City v. […]

 

10 years ago

Africanjam.Com

MPIRA UTAKAOTUMIKA KWENYE LIGI YA UINGEREZA "EPL" 2015/16

Imebaki miezi miwili barani Ulaya kabla ya Ligi mbalimbali kuanza kutimua vumbi, mpira rasmi utakaotumika kwenye ligi ya England tayari umefahamika.Mpira huo umebuniwa na kampuni ya vifaa vya michezo ya Kimarekani ya Nike ambapo utakuwa unafahamika kwa jina la Nike Ordem na umetengenezwa kwa kuzingatia teknolojia ya kisasa ambayo inaendana na mabadiliko ya mchezo wa soka.

Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking...

 

11 years ago

GPL

RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015

RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015. 16 August 2014 Arsenal v Crystal Palace
Burnley v Chelsea
Leicester City v Everton
Liverpool v Southampton
Manchester United v Swansea City
Newcastle United v Manchester City
Queens Park Rangers v Hull City
Stoke City v Aston Villa
West Bromwich Albion v Sunderland
West Ham United v Tottenham Hotspur 23 August 2014 Aston Villa v Newcastle… ...

 

9 years ago

StarTV

TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.

Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.

Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.

 

TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mechi za ligi ya EPL nchini Uingereza

Mancity kuchuana na Totenham huku Arsena ikiikaribisha nyumbani Huoll City nayo Chelsea ikigaragazana na Crystal Palace

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya

football-ground2

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.

TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE

Kagera Sugar – African Sports           16:00 EAT

Maji Maji – Azam                               16:00 EAT

Mwadui – Ndanda                              16:00 EAT

Prisons – Mtibwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Taathimini ya ligi kuu ya EPL

Mkufunzi wa Manchester united hatimaye amekiri kuwa ana mlinzi mmoja tu wa kati huku Arsene Wenger akiduwazwa na dakika 4

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani