RATIBA KAMILI YA LIGI KUU YA UINGEREZA "EPL" 2015/16
![](http://2.bp.blogspot.com/-_ruX8qqscNs/VYHCX9gGrSI/AAAAAAAACH8/C-XM5B3yFw0/s72-c/Premier_League_2013-14_slider.png)
Msimu mpya wa ligi kuu ya Uingereza 2015-2016 maaufu kama EPL unatarajia kuanza kutimua vumbi mwezi Agosti 8 mwaka huu kwa vilabu vyote 20 ambavyo vinashiriki ligi hiyo kukipiga kwenye siku ya kwanza ya ufunguzi wa ligi hiyo ambapo klabu ya Chelsea waliibuka mabingwa wa msimu uliopita wa 2014-2015.
Ratiba ya msimu mzima wa EPL 2015-2016
August 8Bournemouth v Aston VillaArsenal v West Ham UnitedChelsea v Swansea CityEverton v WatfordLeicester City v SunderlandManchester United v Tottenham...
africanjam.com
Habari Zinazoendana
10 years ago
Jamtz.Com![](http://3.bp.blogspot.com/-8HDUM2GN2d4/VDecbEf5MLI/AAAAAAAABNI/vbImEVFAwok/s72-c/4076.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Whu7RSvDwY3vqPRAnQNucWX*3FzFICFojPPylLOEkC0UiojTPRf3ImAJpyKCbzC6CTSS3FkwH-qRv7tpkp4YWEx8BuaYrlou/SuperSportKeyLiveEventsEPLandFACUP89032014MichuziBlogBanner.jpg?width=750)
9 years ago
Bongo502 Oct
Ratiba ya mechi za ligi kuu Uingereza wikiendi hii
10 years ago
Africanjam.Com![](http://2.bp.blogspot.com/-I5gQ8gm2uto/VYv6R22bdnI/AAAAAAAACPg/oVl75YDrn80/s72-c/Nike-Ordem-2015-16-match-ball-premier-league.jpg)
MPIRA UTAKAOTUMIKA KWENYE LIGI YA UINGEREZA "EPL" 2015/16
![](http://2.bp.blogspot.com/-I5gQ8gm2uto/VYv6R22bdnI/AAAAAAAACPg/oVl75YDrn80/s400/Nike-Ordem-2015-16-match-ball-premier-league.jpg)
Africanjam, We provide news from Africa and all over the world in Politics, Sports, Entertainment as well as Breaking...
11 years ago
GPL![](http://www.premierleague.com/content/dam/premierleague/site-content/News/2014-15/June/Opening-Fixtures-PL-Article.png/_jcr_content/renditions/cq5dam.thumbnail.490.338.margin.png?width=650)
RATIBA NZIMA YA LIGI KUU ENGLAND 2014/2015
9 years ago
StarTV20 Aug
TFF: Yatangaza ratiba ya ligi kuu Tanzania bara msimu wa 2015/2016.
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limetangaza rasmi ratiba ya Ligi Kuu soka Tanzania Bara kwa msimu wa 2015/2016, ambao utakuwa na jumla ya timu 16 badala ya 14 za msimu uliopita.
Ligi Kuu ya Bara imepangwa kuanza Septemba 12 mwaka huu, na itamalizika Mei saba mwakani, lakini itasimama kwa mapumziko kati ya Novemba saba na Desemba 19 mwaka huu, kupisha michuano mbalimbali ya kimataifa.
TFF imetangaza ratiba ya ligi hiyo, na kusema imezingatia ratiba ya mashindano mbalimbali ya kitaifa na...
10 years ago
BBCSwahili18 Oct
Mechi za ligi ya EPL nchini Uingereza
9 years ago
Dewji Blog19 Dec
Ratiba ya michezo ya leo Jumamosi, Disemba 19 katika ligi kuu ya Tanzania na ligi kubwa barani Ulaya
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Ligi mbalimbali zinatarajiwa kuendelea mwishoni kwa juma hili na mtandao wako bora wa habari , Modewjiblog.com imekuandalia ratiba ya michezo ya Ligi Kuu ya Tanzania “Vodacom Premier League” na ratiba ya michezo katika ligi kubwa barani Ulaya.
TANZANIA – VODACOM PREMIER LEAGUE
Kagera Sugar – African Sports 16:00 EAT
Maji Maji – Azam 16:00 EAT
Mwadui – Ndanda 16:00 EAT
Prisons – Mtibwa...
10 years ago
BBCSwahili27 Sep
Taathimini ya ligi kuu ya EPL