Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL
Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Dec
Mancity yapanda kileleni mwa ligi
David Silva alifunga mabao mawili dhidi ya Crystal Palace na kuiwezesha Manchester City kupanda hadi kilele cha ligi
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
Arsenal yarejea tena kileleni mwa ligi
Baada ya kuilaza West Ham kwa magoli mawili kwa moja siku ya Alhamisi
10 years ago
MichuziYANGA YAJICHIMBIA KILELENI MWA LIGI KUU YA VODACOM YA SOKA TANZANIA BARA
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wKbcvHKmii4/XqFyuJ8WBKI/AAAAAAAEG1Q/bGY4xnbdqbQiI3GRuClvUoqlz5oehpSswCLcBGAsYHQ/s72-c/New%2BPicture.png)
NMB MastaBoda yafika kileleni: Watano washinda pikipiki
Benki ya NMB imehitimisha kampeni yake ya Mastaboda, kwa kuwazawadia waendesha bodaboda watano kila mmoja pikipiki aina ya Boxer.
Madereva hao ni: Abdalla Said, Mohamed Salehe, Twaliha Mfinanga, Ramadhani Iddy na Adamu Gunza ambao wameibuka kidedea baada ya kufanya miamala ya juu zaidi kupitia Mastercard QR tangu kuzinduliwa kwa kampeni hiyo.
NMB, kwa kushirikiana na Mastercard ilizindua huduma ya Mastercard QR mwanzoni mwa mwaka jana ikiwa na lengo la kumwezesha abiria wa bodaboda kulipa...
Madereva hao ni: Abdalla Said, Mohamed Salehe, Twaliha Mfinanga, Ramadhani Iddy na Adamu Gunza ambao wameibuka kidedea baada ya kufanya miamala ya juu zaidi kupitia Mastercard QR tangu kuzinduliwa kwa kampeni hiyo.
NMB, kwa kushirikiana na Mastercard ilizindua huduma ya Mastercard QR mwanzoni mwa mwaka jana ikiwa na lengo la kumwezesha abiria wa bodaboda kulipa...
10 years ago
BBCSwahili10 Jan
Chelsea yarudi kileleni, Mancity yazuiwa
Chelsea imerejea katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuicharaza Newcastle 2-0 katika uwanja wa stamford bridge.
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
EPL: Arsenal yapaa kileleni
Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Manchester City warejea kileleni EPL
Manchester City wamerejea kileleni Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City.
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Chelsea yang'ang'ania kileleni EPL
Chelsea yazidi kung'ara katika ligi kuu ya England ikiongoza kwa pointi 63 ikufuatiwa na Manchester City yenye pointi 58
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania