Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chelsea yarudi kileleni, Mancity yazuiwa

Chelsea imerejea katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuicharaza Newcastle 2-0 katika uwanja wa stamford bridge.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Leicester yaiadhibu Chelsea yarudi kileleni

Mabingwa watetezi wa ligi kuu England Chelsea wamezidi kuwa katika wakati mgumu msimu huu baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Leicester City.

 

9 years ago

Habarileo

Azam FC yarudi kileleni

TIMU ya soka ya Azam FC imefanikiwa kurudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika pambano lililofanyika Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

African Sport FC yarudi kileleni

Wakati klabu ya African Sport FC ya Tanga ikiongoza katika kundi lake kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa wa mikoa, ni mabao 62 tu ndiyo yaliyotinga nyavuni kutokana na michezo 24 katika kituo cha Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yarudi kileleni, Coastal Union yashikwa Tanga

Mtibwa Sugar imereja kileleni mwa Ligi Kuu pamoja na kulazimishwa sare 1-1 na JKT Ruvu jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yapanda kileleni mwa ligi

David Silva alifunga mabao mawili dhidi ya Crystal Palace na kuiwezesha Manchester City kupanda hadi kilele cha ligi

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL

Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea

 

10 years ago

BBCSwahili

Man U na Arsenal zawika,Chelsea yazuiwa

Mkufunzi Gus Poyet aliihangaisha timu ya Chelsea na kuwajaribu viongozi hao wa Ligi kupitia mchezo mzuru wa timu yake Sunderland.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity,Chelsea na Arsenal zawika

Frank Lampard alifunga bao lake la 175 katika ligi ya Uingereza na kuipatia ushindi wa 1-0 timu yake ya Manchester City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani