Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


African Sport FC yarudi kileleni

Wakati klabu ya African Sport FC ya Tanga ikiongoza katika kundi lake kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa wa mikoa, ni mabao 62 tu ndiyo yaliyotinga nyavuni kutokana na michezo 24 katika kituo cha Morogoro.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Azam FC yarudi kileleni

TIMU ya soka ya Azam FC imefanikiwa kurudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika pambano lililofanyika Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam.

 

9 years ago

BBCSwahili

Leicester yaiadhibu Chelsea yarudi kileleni

Mabingwa watetezi wa ligi kuu England Chelsea wamezidi kuwa katika wakati mgumu msimu huu baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Leicester City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yarudi kileleni, Mancity yazuiwa

Chelsea imerejea katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuicharaza Newcastle 2-0 katika uwanja wa stamford bridge.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yarudi kileleni, Coastal Union yashikwa Tanga

Mtibwa Sugar imereja kileleni mwa Ligi Kuu pamoja na kulazimishwa sare 1-1 na JKT Ruvu jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

5 years ago

BBC

The financial hole coronavirus ripped in African sport

Sports personalities across Africa tell the BBC how coronavirus hit their incomes - well beyond just football and athletics.

 

5 years ago

Telecompaper

Sky, BT Sport not offering customer refunds over live sport cancellations

Sky, BT Sport not offering customer refunds over live sport cancellations  Telecompaper

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda FC yarudi kwao

Ndanda iliyopanda daraja msimu huu inarejea kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona kuikabili Ruvu Shooting, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Dennis Kitambi akiwataka mashabiki kuujaza uwanja ili wapate ushindi wa kishindo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Malori ya msaada wa yarudi Urusi.

Malori yote ya msafara wa misaada kutoka Urusi yaliosafiri bila idhini hadi mashariki mwa Ukraine yamerudi nchini Urusi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani