Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malori ya msaada wa yarudi Urusi.

Malori yote ya msafara wa misaada kutoka Urusi yaliosafiri bila idhini hadi mashariki mwa Ukraine yamerudi nchini Urusi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Madereva wa malori wasubiri msaada wa Waziri Sitta

Chama cha Madereva wa Masafa Marefu (Chamamata) kimempongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kumteua Samwel Sitta kuwa Waziri wa Uchukuzi, kikiamini kuwa atatatua kero za madereva hao zilizodumu kwa muda mrefu.

 

10 years ago

Dewji Blog

Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu

DSC06161Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu

Na Nathaniel Limu

Serikali kuu imeipatia msaada  halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.

Hayo yamesemwa juzi  na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Msaada wa Urusi waelekea mpakani.

Msafara wa misaada kutoka Urusi unaelekea kwenye kivukio cha mpaka wa Ukraine

 

11 years ago

BBCSwahili

Urusi yapeleka msaada nchini Ukraine

Urusi inasema kuwa karibu malori 300 yaliyosheheni misaada ya kibinadamu yameondoka mjini Moscow kuelekea mashariki mwa Ukrain

 

9 years ago

Habarileo

Azam FC yarudi kileleni

TIMU ya soka ya Azam FC imefanikiwa kurudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika pambano lililofanyika Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Ndanda FC yarudi kwao

Ndanda iliyopanda daraja msimu huu inarejea kwa mara ya kwanza kwenye Uwanja wa Nangwanda Sijaona kuikabili Ruvu Shooting, huku kocha mkuu wa timu hiyo, Dennis Kitambi akiwataka mashabiki kuujaza uwanja ili wapate ushindi wa kishindo.

 

11 years ago

Mwananchi

African Sport FC yarudi kileleni

Wakati klabu ya African Sport FC ya Tanga ikiongoza katika kundi lake kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa wa mikoa, ni mabao 62 tu ndiyo yaliyotinga nyavuni kutokana na michezo 24 katika kituo cha Morogoro.

 

9 years ago

BBCSwahili

Leicester yaiadhibu Chelsea yarudi kileleni

Mabingwa watetezi wa ligi kuu England Chelsea wamezidi kuwa katika wakati mgumu msimu huu baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Leicester City.

 

11 years ago

GPL

BONGO MOVIES YA JOYCE KIRIA YARUDI

 Msanii Pastor Myamba akiwa na crew ya Bongo Movies wakionesha alama ya 5 kama ishara ya kutua EATV hivi karibuni.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani