Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leicester yaiadhibu Chelsea yarudi kileleni

Mabingwa watetezi wa ligi kuu England Chelsea wamezidi kuwa katika wakati mgumu msimu huu baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 dhidi ya Leicester City.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yarudi kileleni, Mancity yazuiwa

Chelsea imerejea katika uongozi wa ligi kuu ya Uingereza baada ya kuicharaza Newcastle 2-0 katika uwanja wa stamford bridge.

 

9 years ago

Habarileo

Azam FC yarudi kileleni

TIMU ya soka ya Azam FC imefanikiwa kurudi kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara, baada ya jana kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mtibwa Sugar ya Morogoro katika pambano lililofanyika Uwanja wa Azam Complex Chamazi Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

African Sport FC yarudi kileleni

Wakati klabu ya African Sport FC ya Tanga ikiongoza katika kundi lake kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa wa mikoa, ni mabao 62 tu ndiyo yaliyotinga nyavuni kutokana na michezo 24 katika kituo cha Morogoro.

 

10 years ago

Mwananchi

Mtibwa Sugar yarudi kileleni, Coastal Union yashikwa Tanga

Mtibwa Sugar imereja kileleni mwa Ligi Kuu pamoja na kulazimishwa sare 1-1 na JKT Ruvu jana kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaiadhibu Galatasaray

Chelsea yafuzu kwa robo fainali ya ligi ya mabingwa Uropa baada ya kuilaza Galatasaray 2-0

 

11 years ago

BBCSwahili

Chelsea yaiadhibu Liverpool 2-0

Chelsea wamewanyamazisha vinara wa ligi kuu ya England, Liverpool kwa kuwacharaza 2-0

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea 2-0 Leicester

Mshambulizi wa Uhispania Diego costa alifunga bao lake la pili katika mechi 2 za EPL

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea kumenyana na Leicester City

Vinara wa ligi ya England Chelsea leo watashuka dimbani kucheza mchezo wao wa kiporo dhidi Leicester City.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani