Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EPL: Arsenal yapaa kileleni

Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Yanga yapaa kileleni

YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga yapaa kileleni ligi ya Tanzania

Timu ya soka ya Yanga imerejea tena kileleni mwa ligi ya Tanzania baada kupata ushindi dhidi ya African Sport.

 

11 years ago

Mwananchi

Juventus yaichakaza AC Milan, PSG yapaa kileleni

Juventus sasa inakaribia kutwaa taji la tatu la Ligi ya Italia baada ya kuichapa AC Milan mabao 2-0 na kuongoza kwa tofauti ya pointi 11.

 

9 years ago

BBCSwahili

Manchester City warejea kileleni EPL

Manchester City wamerejea kileleni Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL

Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea

 

10 years ago

BBCSwahili

Chelsea yang'ang'ania kileleni EPL

Chelsea yazidi kung'ara katika ligi kuu ya England ikiongoza kwa pointi 63 ikufuatiwa na Manchester City yenye pointi 58

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani