EPL: Arsenal yapaa kileleni
Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo17 Dec
Yanga yapaa kileleni
YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Yanga yapaa kileleni ligi ya Tanzania
Timu ya soka ya Yanga imerejea tena kileleni mwa ligi ya Tanzania baada kupata ushindi dhidi ya African Sport.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Juventus yaichakaza AC Milan, PSG yapaa kileleni
Juventus sasa inakaribia kutwaa taji la tatu la Ligi ya Italia baada ya kuichapa AC Milan mabao 2-0 na kuongoza kwa tofauti ya pointi 11.
9 years ago
BBCSwahili12 Dec
Manchester City warejea kileleni EPL
Manchester City wamerejea kileleni Ligi Kuu ya Uingereza baada ya kupata ushindi wa 2-1 dhidi ya Swansea City.
10 years ago
BBCSwahili02 Jan
Mancity yafika kileleni mwa ligi ya EPL
Mchezaji Frank Lampard alifunga bao la ushindi kupitia kichwa chake dhidi ya Sunderland na kuiweka Manchester City sawa na Chelsea
10 years ago
BBCSwahili05 Mar
Chelsea yang'ang'ania kileleni EPL
Chelsea yazidi kung'ara katika ligi kuu ya England ikiongoza kwa pointi 63 ikufuatiwa na Manchester City yenye pointi 58
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania