Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga yapaa kileleni

YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Yanga yapaa kileleni ligi ya Tanzania

Timu ya soka ya Yanga imerejea tena kileleni mwa ligi ya Tanzania baada kupata ushindi dhidi ya African Sport.

 

9 years ago

BBCSwahili

EPL: Arsenal yapaa kileleni

Washika bunduki wa London, Arsenal wamekaa kileleni mwa ligi ya England kwa pointi 39 baada ya kuichapa Bournemouth kwa mabao 2-0.

 

11 years ago

Mwananchi

Juventus yaichakaza AC Milan, PSG yapaa kileleni

Juventus sasa inakaribia kutwaa taji la tatu la Ligi ya Italia baada ya kuichapa AC Milan mabao 2-0 na kuongoza kwa tofauti ya pointi 11.

 

11 years ago

Mwananchi

Azam yapaa, Yanga yashikwa

 Azam imeendelea kujikita kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Coastal Union kwa mabao 4-0, wakati Yanga wakilazimishwa sulruhu na wachezaji 10 wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

9 years ago

Mtanzania

Yanga yakwea kileleni

2NA OSCAR ASSENGA, TANGA

MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, wamekwea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo, baada ya kuifunga bao 1-0 timu ya African Sports katika Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

Bao hilo lilifungwa katika dakika 90 ya mchezo huo kupitia kwa Thabani Kamusoko, baada ya kupokea pasi ya Donald Ngoma hivyo kuifanya Yanga kushika usukani wa ligi hiyo kwa kufikisha pointi 27 huku Azam FC wakishika nafasi ya pili kwa kuwa na pointi 26.

Yanga walianza mchezo huo kwa kasi ambapo...

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yajivinjari kileleni

NA SALMA JUMA, TANGA
USHINDI wa bao 1-0 dhidi ya Wagosi wa Kaya wa Tanga, timu ya Coastal Union jana umeifanya Yanga kujivinjari kileleni mwa Ligi Kuu Tanzania Bara, ikiwa na pointi 22 katika msimamo wa ligi hiyo.
Yanga imejikusanyia pointi hizo baada ya kucheza michezo 12, huku ikibakiza mechi yake ya kiporo dhidi ya Mbeya City, ikifuatiwa na Azam yenye pointi 21 huku ikiwa imecheza michezo 11, Mtibwa inashika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 18.
Katika mchezo huo uliopigwa kwenye Uwanja wa...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga yaanzia kileleni

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga jana walianza vyema kampeni ya kutetea ubingwa wao wa Ligi Kuu baada ya kupata ushindi wa mabao 2-0 mbele ya Coastal Union ya Tanga katika mchezo mkali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

9 years ago

Habarileo

Azam yaitoa Yanga kileleni

AZAM jana ilishika usukani wa Ligi Kuu ya soka Tanzania Bara baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 4-2 dhidi ya JKT Ruvu. Mchezo huo uliokuwa na ushindani wa hali ya juu ulifanyika Uwanja wa Karume, Dar es Salaam, ambapo hadi mapumziko washindi walikuwa mbele kwa mabao 2-1.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani