Azam yapaa, Yanga yashikwa
 Azam imeendelea kujikita kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Coastal Union kwa mabao 4-0, wakati Yanga wakilazimishwa sulruhu na wachezaji 10 wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi20 Feb
LIGI KUU BARA: Yanga yang’ara, Azam yashikwa
11 years ago
Mwananchi24 Mar
Azam yapaa, Simba aibu
9 years ago
Habarileo17 Dec
Yanga yapaa kileleni
YANGA jana iliishusha Azam na kukaa kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu baada ya kushinda bao 1-0 dhidi ya African Sports. Ushindi huo unaifanya Yanga ambayo ndio bingwa mtetezi wa ligi hiyo kufikisha pointi 27 na kuishusha Azam yenye pointi 26, lakini ikiwa na mchezo mmoja nyuma.
10 years ago
GPLYANGA YASHIKWA TAIFA, YALAZIMISHWA SULUHU NA NDANDA
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Yanga yapaa kileleni ligi ya Tanzania
9 years ago
Mwananchi20 Dec
LIGI KUU: Tambwe aipaisha Yanga, Simba yashikwa
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.