Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam yapaa, Simba aibu

Jahazi la Simba limezidi kwenda mrama baada ya kunyukwa 1-0 na Coastal Union, huku Azam ikijikita kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu kwa kuichapa Oljoro JKT kwa ushindi kama huo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Azam yapaa, Yanga yashikwa

 Azam imeendelea kujikita kileleni mwa ligi baada ya kuichapa Coastal Union kwa mabao 4-0, wakati Yanga wakilazimishwa sulruhu na wachezaji 10 wa Mtibwa Sugar kwenye Uwanja wa Jamhuri, Morogoro.

 

11 years ago

Mwananchi

Yanga, Simba aibu yetu, aibu yao...

Azam imezidi kunyemelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu baada ya kuichapa Simba 2-1, huku mabingwa watetezi Yanga wakichapwa 2-1 na wachezaji 10 wa Mgambo Shooting kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbeya City yapaa, Simba mdebwedo

>Mgambo Shooting imeiduwaza Simba kwa kuichapa bao 1-0 mjini Tanga, huku Mbeya City wakirudi nafasi ya tatu katika msimamo wa Ligi Kuu bara baada ya kuichapa Mtibwa Sugar 2-1 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

11 years ago

Mwananchi

Hall: Simba, Yanga aibu

Kocha wa zamani wa Azam FC, Stewart Hall amewaponda viongozi wa klabu za Simba na Yanga kwa kusema ndio wanaoziharibu timu hizo kisha kuwatwisha mzigo makocha wao.

 

10 years ago

Vijimambo

AIBU ILIYOJE, YANGA, SIMBA KUTEKELEZA VIWANJA


Mafundi wakiendelea na ujenzi wa uwanja wa Simba uliopo eneo la Bunju jijini Dar es Salaam. Picha na Maktaba 
Viwanja vingi vya wazi ambavyo vilitengwa kwa shughuli za michezo vimevamiwa na kufanyika ujenzi wa matumizi mengine kinyume na mipango ya awali.
UKOSEFU wa viwanja vya michezo ni tatizo ambalo limekuwa likiuandama zaidi mchezo wa soka unaopendwa na wengi.
Viwanja vingi vya wazi ambavyo vilitengwa kwa shughuli za michezo vimevamiwa na kufanyika ujenzi wa matumizi mengine kinyume na...

 

10 years ago

Michuzi

Simba yaifunga Azam FC 2-1

 Mshambuliaji wa Simba, Ramadhani Singano 'Messi" akishangilia kwa staili ya aina yake baada ya kuipatia timu yake bao la pili.
Beki wa Azam FC, Agrey Moris akimiliki mpira mbele ya mshambuliaji wa Simba, Emmanuel Okwi wakati wa mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.  Raha ya ushindi. 
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

Mtanzania

Azam yaitisha Simba

IMG_4080NA ZAINAB IDDY

TIMU ya Azam FC imewatangazia hali ya hatari Simba katika mechi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayochezwa Desemba 12 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Azam imetamba kuinyuka Simba katika mchezo huo, ambapo hadi sasa vinara hao wa ligi kuu wamefikisha pointi 25, wapinzani wao hao wakishika nafasi ya nne wakiwa na pointi 21 katika mechi tisa walizocheza kila mmoja.

Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Ofisa Habari wa Azam, Jaffar Idd, alisema maandalizi yao kwa...

 

10 years ago

Mtanzania

Azam yaivuta sharubu Simba

Pg 32NA WAANDISHI WETU
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam ilivuta sharubu za Simba baada ya kuilazimisha sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.

Timu hizo ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zilizopita, Simba iliichapa Ndanda mabao 2-0, huku Azam ikiichabanga Kagera Sugar mabao 3-1.

Licha ya Simba kupata bao la mapema dakika ya 18 lililofungwa na Emmanuel Okwi, aliyetumia makosa ya kipa wa Azam,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani