Azam yaivuta sharubu Simba
NA WAANDISHI WETU
MABINGWA watetezi wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara, Azam ilivuta sharubu za Simba baada ya kuilazimisha sare ya bao 1-1 kwenye mchezo wa ligi uliofanyika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam jana.
Timu hizo ziliingia uwanjani zikiwa na kumbukumbu ya ushindi kwenye mechi zilizopita, Simba iliichapa Ndanda mabao 2-0, huku Azam ikiichabanga Kagera Sugar mabao 3-1.
Licha ya Simba kupata bao la mapema dakika ya 18 lililofungwa na Emmanuel Okwi, aliyetumia makosa ya kipa wa Azam,...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi22 Sep
Simba yavutwa sharubu
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-asdGjl0oqc4/VCbQYK2zoXI/AAAAAAABJzM/5e82NxEHwPw/s72-c/s4.jpg)
SIMBA YAVUTWA SHARUBU NA POLISI MOROGORO
![](http://2.bp.blogspot.com/-asdGjl0oqc4/VCbQYK2zoXI/AAAAAAABJzM/5e82NxEHwPw/s1600/s4.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-lML_MAwTewA/VCbQcM2Q8kI/AAAAAAABJzk/ziUNO3cuYrM/s1600/s7.jpg)
10 years ago
VijimamboSIMBA YASHIKWA SHARUBU NA STAND UNITED TAIFA HABARI NDIYO HIYO KWA WALE WANAZI WA MSIMBAZI HII INAWABAMBAJE.
![](http://api.ning.com/files/LYZrjK6etVdZHL33BXmV689MUtZ8mNGCbE5p2jv22GdOVoDSJ4-BP*I6RmgsK0w-LNzN-DXWjVjh9hwU0*dV7YfZSlxAIjHp/kisiganabekilastand.jpg?width=650)
Hadi mapumziko, tayari timu hizo zilikuwa zimekwishafungana bao 1-1, Simba SC wakitangulia kupitia kwa Shaban Kisiga dakika ya 35 kabla ya Stand United kusawazisha dakika 10 baadaye.
Wafungaji ...
9 years ago
Mtanzania28 Nov
Azam yaitisha Simba
NA ZAINAB IDDY
TIMU ya Azam FC imewatangazia hali ya hatari Simba katika mechi yao ya Ligi Kuu Tanzania Bara, itakayochezwa Desemba 12 mwaka huu katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Azam imetamba kuinyuka Simba katika mchezo huo, ambapo hadi sasa vinara hao wa ligi kuu wamefikisha pointi 25, wapinzani wao hao wakishika nafasi ya nne wakiwa na pointi 21 katika mechi tisa walizocheza kila mmoja.
Akizungumza na MTANZANIA Jumamosi, Ofisa Habari wa Azam, Jaffar Idd, alisema maandalizi yao kwa...
10 years ago
MichuziSimba yaifunga Azam FC 2-1
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
10 years ago
Mtanzania04 May
Simba, Azam ‘watauana’ Caf
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.
Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.
Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...