Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Simba, Azam ‘watauana’ Caf

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.

Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.

Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Azam, Simba battle for ‘Caf berth’

Defending champions Azam FC clash with Kagera Sugar today in a match that will decide their chances of retaining the Vodacom Premier League title.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam deny Simba Caf spot

Simba Sports Club will have to wait a bit longer before they can make a return to CAF championships.

 

10 years ago

Mwananchi

Azam mtegoni, Simba yanukia CAF

Simba inapewa nafasi kubwa ya kumaliza nafasi ya pili msimu huu kutokana na Azam kuwa mtegoni iwapo itashindwa kupiga hesabu nzuri dhidi ya Yanga na Mgambo JKT katika mechi zake zinazofuata.

 

11 years ago

Mwananchi

CAF: Azam yashinda kiduchu

>Azam imeanza vema mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CHAN) baada ya kuichapa Ferroviario kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaibeba Azam CAF

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga, Azam eye Caf fixtures

>After convincing wins on Sunday, Mainland champions Young Africans and Vodacom Premier League leaders Azam FC  have shifted focus to this weekend’s Africa club assignments.

 

11 years ago

TheCitizen

Azam gun for glory in CAF Cup

>As Azam FC fine-tune for Saturday’s preliminary round return leg of the CAF Confederation Cup against Ferroviario de Beira, assistant coach Kally Ongala says they are well prepared to defend the 1-0 first leg win.

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania ,limezitakia kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano.

 

11 years ago

Mwananchi

Caf yabariki Uwanja wa Azam Complex kimataifa

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limeupa hadhi ya kuchezea michuano mbalimbali ya kitaifa uwanja wa Azam Complex, Chamazi unaomilikiwa na klabu ya Azam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani