Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Yanga, Azam eye Caf fixtures

>After convincing wins on Sunday, Mainland champions Young Africans and Vodacom Premier League leaders Azam FC  have shifted focus to this weekend’s Africa club assignments.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaibeba Azam CAF

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania ,limezitakia kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam FC eye flying start

Azam FC head coach, Joseph Omog says a good start in the Africa Champions League is vital if the Mainland champions are to make it to the next stage of the lucrative tournament.

 

10 years ago

TheCitizen

Resurgent Azam FC eye Cecafa Cup glory

Azam FC forward Didier Kavumbagu says they have to show composure as they launch their 2015 Cecafa Kagame Cup campaign against Uganda’s KCCA at the National Stadium this afternoon.

 

10 years ago

Mtanzania

Simba, Azam ‘watauana’ Caf

NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM

TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.

Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.

Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

CAF: Azam yashinda kiduchu

>Azam imeanza vema mashindano ya Kombe la Shirikisho Afrika (CHAN) baada ya kuichapa Ferroviario kwa bao 1-0 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi jana.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam, Simba battle for ‘Caf berth’

Defending champions Azam FC clash with Kagera Sugar today in a match that will decide their chances of retaining the Vodacom Premier League title.

 

11 years ago

TheCitizen

Azam gun for glory in CAF Cup

>As Azam FC fine-tune for Saturday’s preliminary round return leg of the CAF Confederation Cup against Ferroviario de Beira, assistant coach Kally Ongala says they are well prepared to defend the 1-0 first leg win.

 

10 years ago

TheCitizen

Azam deny Simba Caf spot

Simba Sports Club will have to wait a bit longer before they can make a return to CAF championships.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani