Azam, Simba battle for ‘Caf berth’
Defending champions Azam FC clash with Kagera Sugar today in a match that will decide their chances of retaining the Vodacom Premier League title.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania04 May
Simba, Azam ‘watauana’ Caf
NA JUDITH PETER, DAR ES SALAAM
TIMU ya Simba imerudisha matumaini ya kushiriki michuano ya kimataifa mwakani baada ya kuwachapa wapinzani wao, Azam FC mabao 2-1 mchezo uliofanyika jana Uwanja wa Taifa jijini hapa.
Simba na Azam zipo kwenye vita kali ya kuwania nafasi ya pili ili kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho mwakani, ambapo wekundu hao wameshindwa kukata tiketi ya michuano ya kimataifa toka mwaka juzi waliposhiriki mara ya mwisho.
Azam ambayo mara baada ya mchezo huo imebakiwa na...
10 years ago
Mwananchi05 May
Azam mtegoni, Simba yanukia CAF
10 years ago
TheCitizen07 May
Azam deny Simba Caf spot
11 years ago
Mwananchi10 Feb
CAF: Azam yashinda kiduchu
10 years ago
Mtanzania07 May
Yanga yaibeba Azam CAF
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...
10 years ago
TheCitizen19 Feb
Azam, Yanga battle for top seat
10 years ago
BBCSwahili26 Feb
Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF
11 years ago
TheCitizen12 Feb
Azam gun for glory in CAF Cup
11 years ago
TheCitizen04 Feb
Yanga, Azam eye Caf fixtures