Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania ,limezitakia kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Yanga yaibeba Azam CAF

NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...

 

11 years ago

TheCitizen

Yanga, Azam eye Caf fixtures

>After convincing wins on Sunday, Mainland champions Young Africans and Vodacom Premier League leaders Azam FC  have shifted focus to this weekend’s Africa club assignments.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga na Azam kuelekea Ughaibuni

Wawakilishi wa Tanzania katika michuano ya Ligi ya vilabu barani Afrika, Azam na Yanga wanaondoka wiki hii kuelekea ughaibuni kwa marudiano.

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF:Hatujabadili tarehe ya michuano

Waandilizi wa dimba la taifa bora barani Afrika ACN wanasema kuwa hakuna mabadiliko yoyote ya michuano hiyo iliobadilika

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF yapongeza michuano ya AFCON 2015

Shirikisho la soka barani Afrika, Caf limeipongeza Equatorial Guinea kwa maandalizi ya muda mfupi ya michezo ya Afcon 2015

 

10 years ago

BBCSwahili

CAF:Morocco kushiriki katika michuano

Shirikisho la soka barani Africa CAF limethibitisha kuwa Morocco itashiriki katika mechi za kufuzu kwa dimba la Afrika mwaka 2017.

 

10 years ago

Michuzi

KLABU ZA SOKA KUJIGHARAMIA HOTELI MICHUANO YA CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limefanyia marekebisho kanuni zake za michuano ya ngazi ya klabu kwa upande wa malazi ambapo sasa timu zitachagua na kujilipia zenyewe hoteli zinapokuwa kwenye mechi za ugenini.
Kabla ya marekebisho ya kanuni hiyo, timu ngeni ilikuwa ikilipiwa hoteli na timu mwenyeji kwa msafara usiozidi watu 25. CAF ilikuwa imepitisha hoteli maalumu katika kila nchi ambapo mwenyeji alitakiwa kuziweka timu ngeni.
Kwa marekebisho hayo, Chama cha Mpira wa Miguu cha nchi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika

Wawakilishi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika, Azam FC waondolewa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani