Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania ,limezitakia kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania07 May
Yanga yaibeba Azam CAF
NA JENNIFER ULLEMBO, DAR ES SALAAM
MABINGWA wapya wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga jana waliibeba Azam na kuwawezesha kukata tiketi ya kucheza Kombe la Shirikisho Barani Afrika mwakani, baada ya kukubali kipigo cha mabao 2-1 katika mchezo uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
Matokeo hayo yaliwafanya Yanga wakabidhiwe kombe la ubingwa huku wakiwa na machungu ya kufungwa na Azam, walioshindwa kutetea taji lao walilotwaa msimu uliopita.
Ushindi huo pia umetibua ndoto na hesabu za...
11 years ago
TheCitizen04 Feb
Yanga, Azam eye Caf fixtures
10 years ago
Michuzi16 Feb
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Yanga na Azam kuelekea Ughaibuni
10 years ago
BBCSwahili11 Oct
CAF:Hatujabadili tarehe ya michuano
10 years ago
BBCSwahili10 Feb
CAF yapongeza michuano ya AFCON 2015
10 years ago
BBCSwahili05 Apr
CAF:Morocco kushiriki katika michuano
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-AVPZSfSwy0I/VL-HWIWZVVI/AAAAAAAG-qI/bXDrQwR1JO8/s72-c/45.jpg)
KLABU ZA SOKA KUJIGHARAMIA HOTELI MICHUANO YA CAF
![](http://2.bp.blogspot.com/-AVPZSfSwy0I/VL-HWIWZVVI/AAAAAAAG-qI/bXDrQwR1JO8/s1600/45.jpg)
Kabla ya marekebisho ya kanuni hiyo, timu ngeni ilikuwa ikilipiwa hoteli na timu mwenyeji kwa msafara usiozidi watu 25. CAF ilikuwa imepitisha hoteli maalumu katika kila nchi ambapo mwenyeji alitakiwa kuziweka timu ngeni.
Kwa marekebisho hayo, Chama cha Mpira wa Miguu cha nchi...
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika