Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika

Wawakilishi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika, Azam FC waondolewa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

AZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam, Yanga, kuelekea michuano ya CAF

Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Tanzania ,limezitakia kheri na ushindi timu za Azam na Young Africans katika michezo yao ya marudiano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya kombe la mataifa ya Afrika

Ratiba ya michuano ya kuwania kucheza Fainali za Mataifa ya Afrika imetolewa leo na CAF.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tutafuzu michuano ya Mataifa ya Afrika.

TFF imesema limeweka malengo ,timu ya taifa ya vijana ya U17 inafuzu kucheza fainali za Mataifa Afrika 2017 Madagscar

 

10 years ago

BBCSwahili

Matokeo ya michuano ya dimba la Afrika

Nigeria wameicharaza Congo Brazaville 2-0 siku ya jumamosi ili kuimarisha matumaini yake ya kufuzu katika dimba la Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Tanzania na michuano kanda ya 5 Afrika

Tanzania yachagua timu kuzikabili nchi nyingine za Afrika katika wavu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano ya gofu Afrika kufanyika Zambia

Michuano ya Afrika golf kwa vijana chini ya miaka 18 itafanyika May nchini Zambia na Tanzania inakusudia kushiriki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Michuano Afrika:Wasiomudu kupewa tiketi

Rais wa Guinea ya Ikweta ameahidi kununua tiketi 40,000 kwa ajili ya wasio na uwezo

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani