AZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Feb
Azam ya TZ yaondolewa michuano ya Afrika
Wawakilishi kwenye michuano ya kombe la shirikisho barani Afrika, Azam FC waondolewa
10 years ago
Vijimambo
AZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO


Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...
5 years ago
CCM Blog
10 years ago
Mwananchi13 Feb
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly
>Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kikosi chake kipo tayari kwa vita na kuahidi kucheza soka la kushambulia muda wote dhidi ya BDF XI ya Botswana.
10 years ago
VijimamboAZAM FC YAIBAMIZA EL MERREIKH YA SUDAN 2-0 KOMBE LA MABINGWA AFRIKA
10 years ago
Mwananchi19 Apr
KOMBE LA SHIRIKISHO: Tumekosa wote
>Yanga imejijengea mazingira magumu ya kusonga mbele kwenye hatua ya makundi ya Kombe la Shirikisho la Soka Afrika baada ya sare ya bao 1-1 dhidi ya Etoile du Sahel.
9 years ago
Michuzi09 Nov
UZINDUZI KOMBE LA SHIRIKISHO LEO

11 years ago
BBCSwahili02 Apr
Al Ahly kucheza Kombe la Shirikisho
Timu ya Al Ahly ya Misri watakabiliana na Difaa Hassani Jadida ya Morocco katika mashindano ya Kombe la Shirikisho
9 years ago
Michuzi
KOMBE LA SHIRIKISHO RAUNDI YA TATU.

Timu 16 zinazoshiriki Ligi Kuu ya Vodacom zimeingia moja kwa moja mzunguko wa tatu ambapo sasa zinajumuika na timu 16 zilizofuzu kutoka raundi ya pili yenye timu kutoka ligi daraja la kwanza na ligi daraja la pili.
Jumamosi, Januari 12, Majimaji itacheza dhidi ya JKT Mlale uwanja wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania