RATIBA YA MICHEZO YA KOMBE LA SHIRIKISHO (AZAM SPORTS FEDERATION CUP) MZUNGUKO WA 5
CCM Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL9 years ago
GPLAZAM SPORTS FEDERATION CUP KUTIMUA VUMBI WIKIENDI HII
11 years ago
GPLAZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
9 years ago
VijimamboAZAM, TFF ZARUDISHA KOMBE LA SHIRIKISHO
Kurudishwa kwa michuano hii imekua ni faraja kwa wapenzi na wadau wa mpira miguu nchini baada ya kukosekana kwa takribani miaka...
5 years ago
MichuziSIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...
9 years ago
Dewji Blog14 Nov
SPORT NEWS: Matokeo ya michezo ya jana kutafuta nafasi ya kufuzu kombe la Dunia 2018 na ratiba ya leo Novemba 14!
CONMEBOL Qualification;
Argentina 1 – 1 Brazil
Peru 1 – 0 Paraguay
CONCACAF Qualification;
USA 6 – 1 Saint Vincent
Guatemala 1 – 2 Trinadad and Tobago
Mexico 3 – 0 El Salvador
Costa Rica 1 – 0 Haiti
Jamaica 0 – 1 Panama
CAF Qualification;
Madagascar 2 – 2 Senegal
Comoros 0 – 0 Ghana
Kenya 1 – 0 Cape Verde
Libya 0 – 1 Rwanda
Angola 1 – 3 Afrika Kusini
Niger 0 – 3 Cameroon
Liberia 0 – 1 Ivory Coast
Mauritania 1 – 2 Tunisia
Swaziland 0 – 0 Nigeria
Ratiba...
9 years ago
MillardAyo29 Dec
Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …
Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]
The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.
9 years ago
Dewji Blog02 Jan
Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!
Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..
10 years ago
BBCSwahili06 Jan
Mzunguko wa nne kombe la FA hadharani