Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!

IMG_6010

Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..

Ratiba-ya-mapinduzi-cup-bongosoka

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa …

Ni kawaida kila mwaka kufanyika kwa mashindano ya Kombe la Mapinduzi visiwani Zanzibar, kwa mwaka 2016 michuano hiyo inafanyika kama kawaida. Kombe la Mapinduzi kwa sasa Bingwa mtetezi wa Kombe hilo ni klabu ya Simba. Jumapili ya January 3 2016. Hii ndio ratiba kamili mtu wangu ya michuano ya Kombe la Mapinduzi. CHANZO CHA HII […]

The post Burudani inahamia Zanzibar, Kombe la Mapinduzi 2016 Yanga, Azam FC na Simba ndani, ratiba kamili ipo hapa … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Yanga yatoa Dozi mapinduzi cup 2016.

Michuano ya kombe la mapinduzi 2016 imeanza mwanzoni mwa wiki hii visiwani Zanzibar

 

9 years ago

BBCSwahili

Azam,Yanga sare Mapinduzi Cup.

Timu ya Yanga imetoshana nguvu na Azam FC, kufuatia sare ya bao 1-1 katika Mechi ya Kundi B la michuano ya Mapinduzi Cup 2016

 

5 years ago

Michuzi

CWT YAAHIDI KUFANYA MAPINDUZI KATIKA SOKA HAPA NCHINI-ALAWI

Na Mwamvua Mwinyi, PwaniCHAMA Cha Walimu Tanzania (CWT), kimeahidi kufanya mapinduzi katika soka, kwa kuwa na timu imara itayoshiriki Ligi za ndani na nje ya nchi.
Hatua hiyo inatokana na mikakati kabambe inayotarajia kuwekwa na Walimu kupitia uongozi wa Makao Mkuu, mara baada ya kumalizika kwa uchaguzi Mkuu wa chama hicho unaotarajia kufanyika Mei 28 mwaka huu.
Hayo yalielezwa na Mwalimu Abubakari Alawi akizungumza na Waandishi wa Habari mjini Kibaha,ambaye ni mgombea wa nafasi ya Mhazi...

 

9 years ago

Dewji Blog

Tazama hapa ratiba ya soka ya ligi kubwa barani Ulaya leo Jumamosi, Januari 2

maxresdefault

Na Rabi Hume, Modewjiblog Baada ya kusherekea mwaka mpya hapo jana, leo Jumamosi ligi ya Uingereza na Hispania zinatarajiwa kuendelea kwa michezo kupigwa katika viwanja tofauti tofauti, blog yako bora ya habari Modewjiblog imekuandalia ratiba kamili ya michezo hiyo: UINGEREZA – PREMIER LEAGUE West Ham United – Liverpool 15:45 EAT Arsenal – Newcastle United 18:00 EAT Leicester City – AFC Bournemouth 18:00 EAT Manchester United – Swansea City 18:00 EAT Norwich – Southmpton 18:00...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani