Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RATIBA KUTOKA AZAM TV YENYE MECHI ZA AZAM SPORTS FEDERATION CUP

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

AZAM SPORTS FEDERATION CUP KUTIMUA VUMBI WIKIENDI HII

Kutoka kushoto ni Ofisa Masoko na mauzo wa Azam Media Mgope Kiwanga, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Azam Media Rhys Torrington, Meneja Masoko wa TFF Peter Simon na Meneja Msaidizi wa Michezo wa Azam, Patrick Nyembera. Meneja Masoko wa TFF, Peter Simon akizungumza jambo kwenye mkutano huo.…

 

5 years ago

Michuzi

SIMBA YATANGULIA ROBO FAINALI HATUA YA ROBO FAINAL MICHUANO YA AZAM SPORT FEDERATION CUP

Na Said Mwishehe, Michuzi Globu ya Jamii
TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam imefanikiwa kuingia hatua robo faina ya michuano ya Azam Sports Federation CUP baada ya kuibuka na ushindi kwenye mchezo wao wa leo dhidi ya Stand United.
Mchezo kati ya timu ya Simba na Stand United umepigwa katika dimba la Kambarage Shinyanga na hadi mpira huo unamaliza timu hizo zilitoka sare ya bao 1-1 na hivyo kuingia hatua ya matuta.
Hatua hiyo ya matuta iliiwezesha Simba kushinda penalt 3 -2 ambapo kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

Ratiba ya mapinduzi Cup 2016 hii hapa, vigogo vya soka Azam Fc, Yanga watia timu Visiwani!!

IMG_6010

Uwanja wa Amaan Zanzibar ambao utakuwa moja ya viwanja vitakavyotimua vumbi katika Michuano ya Mapinduzi Cup 2016 yanayotarajia kuanza jioni ya leo na kesho..

Ratiba-ya-mapinduzi-cup-bongosoka

 

10 years ago

Michuzi

DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP TEMEKE MARKET NA BLACK SIX MECHI YALALA

Michuano ya DR MWAKA SPORTS XTRA NDONDO CUP imeendelea leo kwenye uwanja wa Bandari maeneo ya Tandika Mwembe Yanga kwa kuzikutanisha timu za TEMEKE MARKET na BLACK SIX ya Buguruni,mchezo huo umemalizika kwa timu hizo kushindwa kumpata mshindi baada ya kufungana bao 1-1 baada ya dakika tisini,na pia ilipofika changamoto ya mikwaju ya penati timu zote zilitumbukiza mikwaju yote mitano kimiani na kupelekea mwamuzi wa mchezo huo kuuvunja baada ya giza kuingia. Mchezo huo sasa utarudiwa siku...

 

9 years ago

Habarileo

Azam mechi ya 11 bila kufungwa

KOCHA Stewart John Hall juzi aliiongoza Azam FC kushinda mechi ya 10 mfululizo tangu arejee kwa mara ya tatu Juni mwaka huu, baada ya kuifunga Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo, KMKM, kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

 

9 years ago

Raia Tanzania

Simba, Azam zatofautiana na Yanga ratiba ligi Kuu

SIKU moja baada ya Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), kutangaza ratiba ya Ligi Kuu Tanzania Bara, Uongozi wa Mabingwa wa ligi hiyo, Yanga umeibuka na kuipinga kwa madai kuwa haikuwatendea haki.

Ligi hiyo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi Septemba 12 kwa michezo saba ya ufunguzi kuchezwa katika viwanja tofauti nchini.

Katibu Mkuu wa Yanga, Jonas Tibohora, alisema kuwa wao hawajaridhika na upangaji wa ratiba hiyo, na inaonyesha wazi nia yao ni kutaka wafanye vibaya msimu...

 

11 years ago

GPL

MECHI YA AZAM, SIMBA YAINGIZA MIL 26/-

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Azam na Simba iliyochezwa jana (Machi 30 mwaka huu) Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imeingiza sh. 26,455,000. Watazamaji 4,741 walikata tiketi kushuhudia pambano hilo ambapo Azam iliibuka na ushindi wa mabao 2-1. Viingilio vilikuwa sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000. Mgawanyo kwa mapato ulikuwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) sh. 4,035,508.47, gharama za kuchapa tiketi sh....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani