Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Azam mechi ya 11 bila kufungwa

KOCHA Stewart John Hall juzi aliiongoza Azam FC kushinda mechi ya 10 mfululizo tangu arejee kwa mara ya tatu Juni mwaka huu, baada ya kuifunga Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo, KMKM, kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Amaan, Zanzibar.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Vijimambo

TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA

Mchezaji wa Taswa Fc, Julius Kihampa (kushoto) akikokota mpira wakati wa mchezo wa Bonanza la 10 la Taswa Arusha dhidi ya timu ya IMS Maji ya Chai, kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha mwishoni mwa wiki. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 1-1.Mchezaji wa Taswa Queens, Oliver Arbogasti, akimdhibiti mchezaji wa timu ya Chuo cha waandishi wa Habari cha AJTC wakati wa mchezo wao. Katika mchezo huo Taswa Queens, ilishinda mabao 37 - 3 Nahodha wa timu ya Taswa Queens, Zuhura...

 

11 years ago

GPL

MECHI YA AZAM, SIMBA YAINGIZA MIL 26/-

Mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kati ya Azam na Simba iliyochezwa jana (Machi 30 mwaka huu) Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam imeingiza sh. 26,455,000. Watazamaji 4,741 walikata tiketi kushuhudia pambano hilo ambapo Azam iliibuka na ushindi wa mabao 2-1. Viingilio vilikuwa sh. 5,000, sh. 15,000 na sh. 20,000. Mgawanyo kwa mapato ulikuwa Kodi ya Ongezeko la Thamani (VAT) sh. 4,035,508.47, gharama za kuchapa tiketi sh....

 

9 years ago

Mtanzania

Azam: kila mechi Kwetu ni fainali

azam-1NA ADAM MKWEPU, DAR ES SALAAM

UONGOZI wa Azam FC umesema kwamba kuelekea kuwa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara kila mechi watakayocheza itakuwa kama fainali.

Klabu hiyo ipo nafasi ya pili kwenye ligi hiyo ikiwa na tofauti ya pointi moja nyuma ya klabu ya Yanga, ambayo ina pointi 30 baada ya kucheza michezo 12.

Akizungumza na MTANZANIA, Msemaji wa klabu hiyo, Jafari Iddi, alisema kwamba wapo katika maandalizi ya mechi yao dhidi ya Kagera Sugar Jumapili hii.

“Kwa sasa timu inajiandaa kuingia...

 

9 years ago

Mwananchi

‘Utatu’ huu kumaliza mechi Azam, Yanga

Dar es Salaam.  Baada ya tambo za muda mrefu kuhusu ubora wa vikosi vyao, Azam na Yanga zina silaha hatari tatu kila moja zinazoweza kumaliza mechi mapema.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uwanja Azam Complex waalika mechi za usiku

KLABU ya Azam FC imesema kuanzia sasa uwanja wao wa Azam Complex uliopo Chamazi, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam unaweza kutumika hata kwa mechi za usiku baada...

 

9 years ago

Habarileo

Azam TV kuonesha mechi Ngao ya Jamii kesho

TELEVISHENI ya Azam ambayo ni mahiri kwa burudani itaonesha pambano la kukata na shoka la Ngao ya Jamii kati ya Yanga na Azam FC litakalofanyika kesho kwenye Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani