TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
Mchezaji wa Taswa Fc, Julius Kihampa (kushoto) akikokota mpira wakati wa mchezo wa Bonanza la 10 la Taswa Arusha dhidi ya timu ya IMS Maji ya Chai, kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha mwishoni mwa wiki. Katika mchezo huo timu hizo zilitoka sare ya 1-1.
Mchezaji wa Taswa Queens, Oliver Arbogasti, akimdhibiti mchezaji wa timu ya Chuo cha waandishi wa Habari cha AJTC wakati wa mchezo wao. Katika mchezo huo Taswa Queens, ilishinda mabao 37 - 3
Nahodha wa timu ya Taswa Queens, Zuhura...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya Posta yazing’arisha Taswa FC, Taswa Queens
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...
10 years ago
Vijimambo10 Oct
TPB SUPPORTS TASWA FC, TASWA QUEENS
![Meneja Uhusiano Mwandamizi wa Benki ya Posta Tanzania (TPB) Noves Moses akikabidhi jezi za mpira wa miguu zenye thamani ya sh. 1,800,000/= kwa Mwenyekiti wa TASWA SC Majuto Omary.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/DSC_0422.jpg)
TANZANIA Sports Writers Association Sports Club (TASWA SC) received sports gears worth Tzs 1,800,000/= from Tanzania Postal Bank (TPB). Chief Manager, Corporate Affairs of the bank Noves Moses said her bank has decided to support the team as a gesture for active recreation activity besides reporting. Noves said...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ehfjglE2hgI/VBXVzJRduXI/AAAAAAAGjjg/j72y9JXPi0U/s72-c/3.jpg)
TASWA FC SAFARINI IRINGA, ARUSHA, TANGA NA MTWARA
![](http://1.bp.blogspot.com/-ehfjglE2hgI/VBXVzJRduXI/AAAAAAAGjjg/j72y9JXPi0U/s1600/3.jpg)
MAJINA YA WACHEZAJI1. Mwarami Seif2. Mbozi Katala3. Edward Mbaga4. Elius Kambili5. Wilbert Molandi6. Eddo Kumwembe7. Faustine Felician8. Julius Kihampa9. Zahoro...
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
TASWA Dar hoi Tamasha la Waandishi Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
Kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KYReZg6TQpw/VeQcr1TxESI/AAAAAAAAPd8/jH-c9sHwR70/s640/IMG_20150829_173251.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kW-Ad1uRreM/VeQc7rfmWVI/AAAAAAAAPeE/W-O2GR8HAJM/s640/IMG_20150829_115708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNBgNpdUrrM/VeQdPIFhErI/AAAAAAAAPeM/EzHdEvM2fV8/s640/IMG_20150829_115720.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jfLDZORcJvM/VeQdo3OdqJI/AAAAAAAAPeU/4iniHINmrEU/s640/DSC00264.jpg)
Siku moja kabla ya bonanza waandishi wa habari wa mkoa wa Arusha walipata fursa ya kutembelea kiwanda cha bia ya TBL Arusha hapa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo akiwa anawapa maelekezo ya jinsi kiwanda hicho kinavyoweza kufanya kazi ya kutengeneza bia kwa kutumia mashine na kompyuta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-H94D2DsSF3c/VeQd-KqSigI/AAAAAAAAPec/jKDml_0ogqo/s640/DSC00237.jpg)
Woinde Shizza (wa pili kushoto) nikiwa na waandishi wa habari wakongwe mara baada tu ya kuwasili ndani ya kiwanda...
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
AJTC yang’ara bonanza la Taswa Arusha
TIMU ya Chuo cha Uandishi wa Habari na Utangazaji Arusha (AJTC), kimefanikiwa kung’ara kwenye bonanza la Kanda ya Kaskazini lililoandaliwa na Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Mkoa wa...
11 years ago
Michuzi02 Apr
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s72-c/IMG_20150829_174251.jpg)
TASWA DAR HOI TAMASHA LA WAANDISHI JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U0dIoQ8H-pI/VeQfd6J_XxI/AAAAAAAAPe8/9db3ZK4lc8w/s640/IMG_20150829_162009_1.jpg)
Na Woinde shizza,ArushaTIMU ya soka ya chuo cha uandishi wa habari Arusha(AJTC) juzi walitwaa ubingwa katika bonanza la 10 vyombo vya habari mkoani Arusha huku Timu ya wanahabahari wa Dar es Salaam TASWA FC wakishindwa kutamba.
Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika...