TASWA DAR HOI TAMASHA LA WAANDISHI JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s72-c/IMG_20150829_174251.jpg)
kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha.
waandishi wahabari wa mkoa wa Arusha wakifurahia wakati tamasha likiendelea.
Na Woinde shizza,ArushaTIMU ya soka ya chuo cha uandishi wa habari Arusha(AJTC) juzi walitwaa ubingwa katika bonanza la 10 vyombo vya habari mkoani Arusha huku Timu ya wanahabahari wa Dar es Salaam TASWA FC wakishindwa kutamba.
Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
TASWA Dar hoi Tamasha la Waandishi Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
Kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KYReZg6TQpw/VeQcr1TxESI/AAAAAAAAPd8/jH-c9sHwR70/s640/IMG_20150829_173251.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kW-Ad1uRreM/VeQc7rfmWVI/AAAAAAAAPeE/W-O2GR8HAJM/s640/IMG_20150829_115708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNBgNpdUrrM/VeQdPIFhErI/AAAAAAAAPeM/EzHdEvM2fV8/s640/IMG_20150829_115720.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jfLDZORcJvM/VeQdo3OdqJI/AAAAAAAAPeU/4iniHINmrEU/s640/DSC00264.jpg)
Siku moja kabla ya bonanza waandishi wa habari wa mkoa wa Arusha walipata fursa ya kutembelea kiwanda cha bia ya TBL Arusha hapa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo akiwa anawapa maelekezo ya jinsi kiwanda hicho kinavyoweza kufanya kazi ya kutengeneza bia kwa kutumia mashine na kompyuta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-H94D2DsSF3c/VeQd-KqSigI/AAAAAAAAPec/jKDml_0ogqo/s640/DSC00237.jpg)
Woinde Shizza (wa pili kushoto) nikiwa na waandishi wa habari wakongwe mara baada tu ya kuwasili ndani ya kiwanda...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8EZSB7tJTtE/VdL-sFRgf8I/AAAAAAAAPYE/hJ4Ps2nrDdA/s72-c/20150817_171114-1.jpg)
TAMASHA LA MICHEZO LA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA KUTIMUA VUMBI AGOSTI 29
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EZSB7tJTtE/VdL-sFRgf8I/AAAAAAAAPYE/hJ4Ps2nrDdA/s1600/20150817_171114-1.jpg)
habari na libeneke la kaskazini blog
Tamasha la 10 la vyombo vya habari na wadau wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
9 years ago
Habarileo15 Oct
Taswa FC hoi kwa NSSF
TIMU ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini, Taswa FC imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kulala kwa mabao 2-1 katika mchezo maalumu wa kuadhimisha miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
11 years ago
Dewji Blog15 May
Tamasha la “Mtu kwao” laanza kurindima jijini Arusha
![tamasha](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/05/tamasha.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-mNB1bRc-Zj8/U3UitDHSxbI/AAAAAAAFh-E/tUNTs-gz0P8/s72-c/unnamed+(88).jpg)
Tamasha la kitamaduni la "Mtu kwao" laanza leo jijini Arusha
![](http://1.bp.blogspot.com/-mNB1bRc-Zj8/U3UitDHSxbI/AAAAAAAFh-E/tUNTs-gz0P8/s1600/unnamed+(88).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-VSGtpZrqhFc/U3UitdW5WaI/AAAAAAAFh-A/GiuwhA77jeU/s1600/unnamed+(89).jpg)
10 years ago
MichuziKAMATI YA UTENDAJI YA CHAMA CHA HABARI ZA MICHEZO (TASWA) KUKUTANA AGOSTI 7 2015 JIJINI DAR
A; KIKAO KAMATI YA UTENDAJI
KAMATI ya Utendaji ya Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), inatarajiwa kukutana Ijumaa Agosti 7, 2015, Dar es Salaam kujadili masuala mbalimbali yahusiyo michezo na waandishi wa habari za michezo hapa nchini.
Pamoja na mambo mengine, kikao hicho kitajadili namna bora ambayo chama kinaweza kushiriki kwa kuangalia jinsi ya kuwaunganisha wanamichezo kwa namna mbalimbali katika Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani utakaofanyika Oktoba 25...
10 years ago
Michuzi28 Sep
TAMASHA LA UPENDO WA MAMA KUFANYIKA JIJINI ARUSHA TAREHE 2 NOVEMBA 2014
![SAM_0646](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/e3dJmXhQjId3suQ-VncEKuBoqKGItya038ImIBr44wcMwW_iZSpWMUoQVhAuYQGeEdaNeLux2-XcOEP6lgKJXv4ZouxWL-0qs1N6l2HErIvRmcQ=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0646.jpg)
![SAM_0669](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/jCOhgEN4EY_XZG2OID_g6zWjwDfUir9oIPeLCF55FDSghIZXnhuHHFo9HElqr-Rje3gBqrAN19lFtedPJSzQ_mFvaXIr4vNP4hm8yUPfEIQJBw=s0-d-e1-ft#http://pamelamollel.files.wordpress.com/2014/09/sam_0669.jpg)
10 years ago
CloudsFM06 Mar
Tamasha la chakula cha kiafrika kufanyika Jumapili hii jijini Arusha.
Tamasha la Chakula cha Kiafrika linatarajiwa kufanyika Jumapili hii jijini Arusha kwenye mgahawa wa Umbrella(Umbrella Garden and restaurant).
Akizungumzia tamasha hilo,Elihuruma Msengi alisema kuwa leo la kufanya tamasha la chakula cha Afrika ni kuwakumbusha Watanzania umuhimu wa lishe na chakula cha kiafrika kwani magonjwa mengi yanatokana na vyakula vya viwandani na pia kudumisha upendo na amani kwa wananchi wa jiji la Arusha. Aidha ameongeza kuwa siku hiyo ya Jumapili itakuwa ni siku ya...