TASWA Dar hoi Tamasha la Waandishi Arusha
Kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KYReZg6TQpw/VeQcr1TxESI/AAAAAAAAPd8/jH-c9sHwR70/s640/IMG_20150829_173251.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kW-Ad1uRreM/VeQc7rfmWVI/AAAAAAAAPeE/W-O2GR8HAJM/s640/IMG_20150829_115708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNBgNpdUrrM/VeQdPIFhErI/AAAAAAAAPeM/EzHdEvM2fV8/s640/IMG_20150829_115720.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jfLDZORcJvM/VeQdo3OdqJI/AAAAAAAAPeU/4iniHINmrEU/s640/DSC00264.jpg)
Siku moja kabla ya bonanza waandishi wa habari wa mkoa wa Arusha walipata fursa ya kutembelea kiwanda cha bia ya TBL Arusha hapa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo akiwa anawapa maelekezo ya jinsi kiwanda hicho kinavyoweza kufanya kazi ya kutengeneza bia kwa kutumia mashine na kompyuta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-H94D2DsSF3c/VeQd-KqSigI/AAAAAAAAPec/jKDml_0ogqo/s640/DSC00237.jpg)
Woinde Shizza (wa pili kushoto) nikiwa na waandishi wa habari wakongwe mara baada tu ya kuwasili ndani ya kiwanda...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s72-c/IMG_20150829_174251.jpg)
TASWA DAR HOI TAMASHA LA WAANDISHI JIJINI ARUSHA
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-U0dIoQ8H-pI/VeQfd6J_XxI/AAAAAAAAPe8/9db3ZK4lc8w/s640/IMG_20150829_162009_1.jpg)
Na Woinde shizza,ArushaTIMU ya soka ya chuo cha uandishi wa habari Arusha(AJTC) juzi walitwaa ubingwa katika bonanza la 10 vyombo vya habari mkoani Arusha huku Timu ya wanahabahari wa Dar es Salaam TASWA FC wakishindwa kutamba.
Katika Bonanza hilo, ambalo lilishirikisha jumla ya timu nane, TASWA FC) alishindwa kutamba na kushika...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8EZSB7tJTtE/VdL-sFRgf8I/AAAAAAAAPYE/hJ4Ps2nrDdA/s72-c/20150817_171114-1.jpg)
TAMASHA LA MICHEZO LA WAANDISHI WA HABARI ARUSHA KUTIMUA VUMBI AGOSTI 29
![](http://1.bp.blogspot.com/-8EZSB7tJTtE/VdL-sFRgf8I/AAAAAAAAPYE/hJ4Ps2nrDdA/s1600/20150817_171114-1.jpg)
habari na libeneke la kaskazini blog
Tamasha la 10 la vyombo vya habari na wadau wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s72-c/21.jpg)
TASWA FC, TASWA QUEENS WAMALIZA ZIARA YAO YA MKOA WA ARUSHA NA TANGA BILA KUFUNGWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-PCNtArhIqFk/VeQgCc_VjCI/AAAAAAACiPE/zSfFLlluLkM/s640/21.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-hTC19pYqSnA/VeQe644JKAI/AAAAAAACiNE/O1683JmmbW0/s640/07.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-F8-4xuQwqDQ/VeQdyjbWJoI/AAAAAAACiMM/I0IuAK9lmC4/s640/16.jpg)
9 years ago
Habarileo15 Oct
Taswa FC hoi kwa NSSF
TIMU ya soka ya Waandishi wa Habari za Michezo nchini, Taswa FC imeshindwa kutamba mbele ya wenzao wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) baada ya kulala kwa mabao 2-1 katika mchezo maalumu wa kuadhimisha miaka 16 ya kifo cha Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
Benki ya Posta yadhamini klabu ya waandishi, TASWA SC
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Moses Manyata (wa kwanza kushoto)akikabidhi mfano wa hundi kwa mwenyekiti wa Taswa SC, Majuto Omary (wa kwanza kulia)ikiwa sehemu ya benki hiyo kusaidia michezo nchini. Katikati ni Afisa Mawasiliano wa wa benki hiyo, Chichi Hilda Banda.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Posta Tanzania (TPB) imeidhamini klabu ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC), kufuatia juhudi zake za kuhamasisha na kuendeleza michezo nchini.
Benki...
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...
10 years ago
VijimamboTASWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO 'SUPER D' AKIWEMO NDANI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s72-c/JUMA%2BPINTO.jpg)
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) champongeza Dkt John Magufuli
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s640/JUMA%2BPINTO.jpg)