TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTASWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO 'SUPER D' AKIWEMO NDANI
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s72-c/JUMA%2BPINTO.jpg)
CHAMA cha Waandishi wa Habari za Michezo nchini (TASWA) champongeza Dkt John Magufuli
![](http://1.bp.blogspot.com/-8lCmT7b9pqU/VjUAWZLajcI/AAAAAAAIDzE/-2bDmvac2S4/s640/JUMA%2BPINTO.jpg)
10 years ago
Michuzi06 Dec
kampuni ya selcom wireless yaipiga jeki Chama cha waandishi wa habari za michezo nchini (taswa)
9 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
10 years ago
Michuzi27 Aug
Mifuko ya Pensheni yawapiga msasa watumishi wapya Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo
![](https://4.bp.blogspot.com/-pfQAXTubVWI/U_xymsVMqFI/AAAAAAAAW4k/o7f0BvPmxAI/s1600/Feruzi.jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-OK_2q03c998/U_xymYIbocI/AAAAAAAAW4w/hIR9v04K43A/s1600/GEPF.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bFT_pSYSlLE/VZeeEwNGDsI/AAAAAAAHmwE/BD2R-u5NI8Q/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
NEMC yawapiga msasa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-bFT_pSYSlLE/VZeeEwNGDsI/AAAAAAAHmwE/BD2R-u5NI8Q/s640/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog28 Mar
TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).