TAKUKURU Singida yawapiga msasa waandishi mapambano dhidi ya rushwa
Mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Joshua Msuya,akifungua mafunzo ya ushirikishwaji waandishi wa habari katika mapambano dhidi ya rushwa yaliyohudhuriwa na wanachama wa Singida Press Club mkoa wa Singida.Mafunzo hayo ya siku moja,yalifanyika jana kwenye ukumbi wa mikutano wa TAKUKURU mjini hapa.Wa kwanza kushoto ni kaimu mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Singida,Jaffar Uledi na kulia ni Domina Mukama mratibu wa usimamiaji na utekelezaji wa miradi ya maendeleo (PETS coordinator).
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
StarTV05 Jan
Mapambano Dhidi Ya Rushwa Takukuru yakabiliwa na changamoto ya mashahidi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mtwara imesema bado changamoto ya upatikanaji wa mashahidi katika kesi mbalimbali imeendelea kuwepo kutokana na mashahidi wengi kushindwa kujitokeza na wengine kubadilika kutokana na kuogopa vitisho kutoka kwa watuhumiwa.
Kutokana na changamoto hiyo kesi nyingi zinalazimika kufutwa na nyingine kubadilika.
Mkuu wa Taasisi kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru wa Mkoa wa Mtwara Edson Makala anasema Baadhi ya kesi zilalazimika...
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...
10 years ago
VijimamboTASWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI ZA MICHEZO 'SUPER D' AKIWEMO NDANI
9 years ago
MichuziKUELEKEA UCHAGUZI MKUU, TAMWA YAWAPIGA MSASA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA ZIWA
Wanahabari watapata fursa ya Kujadili yale yanayoendelea katika kuelekea kwenye Uchaguzi Mkuu unaotarajia kufanyika Octoba 25 mwaka huu na nanma Vyombo vya Habari/ Waandishi wa Habari wanavyoripoti habari za Uchaguzi Mkuu kwa kuzingatia...
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Rais Magufuli hajaridhishwa mapambano ya rushwa, kaigeukia TAKUKURU December 15
Bado Rais Magufuli anaendelea kuipanga Serikali ya awamu ya tano ili kuhakikisha mambo yanakuwa sawa kwenye utawala wake na kazi inakwenda. Tuhuma za rushwa na ubadhirifu zimekuwa nyingi, baada ya ishu ya makontena bandarini, ukwepaji kodi TRA, kaigeukia Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU. Rais Magufuli amefanya mabadiliko Taasisi ya TAKUKURU na kutengua […]
The post Rais Magufuli hajaridhishwa mapambano ya rushwa, kaigeukia TAKUKURU December 15 appeared first on...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi10 Sep
Mapambano dhidi ya rushwa : Tujifunze toka Rwanda
5 years ago
MichuziTAKUKURU MKOA WA SINGIDA YAMBURUZA KORTINI DAKTARI KWA TUHUMA YA RUSHWA
Na Godwin Myovela, Singida.TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (PCCB) Mkoa wa Singida imemburuza mahakamani Dkt. Abdul Sewando wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Singida (Mandewa) akituhumiwa kwa kosa la kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mgonjwa kinyume na kifungu cha 15 cha Sheria ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa ya Mwaka 2007.
Akizungumza na Waandishi wa Habari jana kwenye ofisi za PCCB, Mkuu wa...
10 years ago
Dewji Blog03 Aug
Sera, sheria dhaifu, rushwa ni kikwazo katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya nchini
Mtumiaji wa kujinduga akitumia dawa hizo.
Baadhi ya watumiaji wa dawa za kulevya wakihudhuria moja semina zinazoendeshwa nchini.
Na Damas Makangale, Makangale Satellite Blog
“Kila mwaka idadi ya watumiaji wa dawa za kulevya nchini hasa kwa vijana wenye umri mdogo kabisa kati ya miaka 15 mpaka 25 inakadiliwa kufika 10,000 hadi 11,000 kila mwaka nchini ni idadi kubwa na hali inatisha,’ anasema Afisa kutoka Kitengo cha Kudhibiti dawa za kulevya nchini, Moza Makumbuli
Wiki iliyopita Kitengo...