NEMC yawapiga msasa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-bFT_pSYSlLE/VZeeEwNGDsI/AAAAAAAHmwE/BD2R-u5NI8Q/s72-c/unnamed%2B%252822%2529.jpg)
Mkurugenzi wa Habari, Mawasiliano na Uenezi wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC), Dr. Vedast Makota (kulia), akifungua rasmi warsha ya siku mbili ya mafunzo kwa wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini, kuhusu jinsi ya kuandaa habari za Mazingira, akifungua kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa NEMC, Mhandisi Bonaventure Baya, iliyofanyika katika ukumbi wa Kibo Palace Hotel Mjini Morogoro. Aliyekaa kushoto ni Mwenyekiti wa mkutano huo aliyechaguliwa Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziOFAB TANZANIA YATOA SEMINA KWA WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI NCHINI
11 years ago
MichuziTANAPA YAWAKUTANISHA WAHARIRI TOKA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI NCHINI, JIJINI MWANZA
10 years ago
Dewji Blog24 Sep
UN wakutana na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari kujadili ushirikiano†baina yao
Mratibu Mkazi wa mashirika ya Umoja wa Mataifa na mwakilishi wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez (kushoto) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi Mkazi wa WFP nchini Bw.Richard Ragan (katikati) pamoja na Mwakilishi wa mkazi wa shirika la Afya Duniani (WHO) Dk Rufaro Chatora (kulia) kabla ya kuanza kwa mkutano wa kuboresha ushirikiano kati ya Mashirika ya Umoja wa Mataifa nchini na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini.
Shirika la Umoja wa...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-LK7aKRmdicA/VYKlcVq-pqI/AAAAAAAHg2o/WBpWtmtFQKo/s72-c/unnamed%2B%252833%2529.jpg)
wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari watembele mamlaka ya bandari dar es salaam
10 years ago
GPLUN WAKUTANA NA WAHARIRI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI KUJADILI USHIRIKIANO BAINA YAO
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...
10 years ago
Dewji Blog23 Jun
10 years ago
Dewji Blog26 May
Wamiliki wa vyombo vya Habari nchini MOAT wapinga mswada wa sheria ya Vyombo vya Habari
Mwenyekiti wa Umoja wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk. Reginald Mengi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo, kuhusu mswada wa sheria ya vyombo vya habari ambao ulitaka kuwasilishwa bungeni kwa dharula. Kulia ni Mwanasheria, Godfrey Mpandikizi.
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-1FNObDwAkBU/U4oBNymcIQI/AAAAAAAFm1g/b6AL-nAQP5c/s72-c/unnamed+(2).jpg)
Mkutano wa mashauriano kati ya Baraza la habari Tanzania(MCT) na Wahariri pamoja na watendaji wakuu wa Vyombo vya habari
![](http://4.bp.blogspot.com/-1FNObDwAkBU/U4oBNymcIQI/AAAAAAAFm1g/b6AL-nAQP5c/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-deaVy2pWixQ/U4oBNzFxelI/AAAAAAAFm1o/erJ70iKYRng/s1600/unnamed+(3).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-JsbIK-cD1ak/U4oBOInTWiI/AAAAAAAFm1k/D6gfmTApz0E/s1600/unnamed+(4).jpg)