Benki ya Posta yadhamini klabu ya waandishi, TASWA SC
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Moses Manyata (wa kwanza kushoto)akikabidhi mfano wa hundi kwa mwenyekiti wa Taswa SC, Majuto Omary (wa kwanza kulia)ikiwa sehemu ya benki hiyo kusaidia michezo nchini. Katikati ni Afisa Mawasiliano wa wa benki hiyo, Chichi Hilda Banda.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Posta Tanzania (TPB) imeidhamini klabu ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC), kufuatia juhudi zake za kuhamasisha na kuendeleza michezo nchini.
Benki...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziBenki ya Posta yazing’arisha Taswa FC, Taswa Queens
Benki hiyo imekabidhi seti za jezi kwa timu hizo zikiwa na jumla ya thamani ya Sh1,180,000 kwa timu ya mpira wa miguu maarufu kwa jina la Taswa FC na timu ya netiboli ambayo pia inajulikana kwa jina la Taswa Queens.
Akizungumza katika makabidhiano hayo, Meneja mahusiano...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_psdeeeok0M/U-IOOsEjyzI/AAAAAAAF9ig/Cs2rFfHvTgg/s72-c/unnamed+(48).jpg)
Benki ya Posta yaipiga tafu Taswa SC
![](http://3.bp.blogspot.com/-_psdeeeok0M/U-IOOsEjyzI/AAAAAAAF9ig/Cs2rFfHvTgg/s1600/unnamed+(48).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-KWBIUksYAy4/U-IOPi0yG2I/AAAAAAAF9ik/V8tP2G0QEFc/s1600/unnamed+(50).jpg)
10 years ago
Dewji Blog14 Dec
Tigo yadhamini maonesho ya Tehema kwa vijana, Viwanja vya Posta
Ofisa kutoka mradi wa Data Huru ulio chini ya Tume ya Sayansi na Teknolojia (Costech) Daudi Fufuji akitoa maelekezo kuhusiana na namna ambavyo mradi huo unafanya kazi, maadhimisho hayo yalidhaminiwa na kampuni ya simu za mkononi ya Tigo.
Wadau kutoka Kituo cha Utamaduni cha Ujerumani, Goethe Institute wakiwa kwenye maonesho hayo.
Baadhi ya mabanda ambayo wadau mbalimbali wa masuala ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) walihudhuria.
Wanafunzi wa Chuo cha A3 Institute wakionesha...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s1600/unnamed.jpg)
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imesema itaendelea kuwajengeauwezo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi wa habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s1600/unnamed.jpg)
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment. Pichani katikati ni Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lXITMgoExbM/U3ZVP048NSI/AAAAAAAFiHg/Rw4O4y3Rz8A/s1600/unnamed+(1).jpg)
11 years ago
GPLAIRTEL YADHAMINI MAFUNZO YA WAANDISHI
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
TASWA Dar hoi Tamasha la Waandishi Arusha
![](http://4.bp.blogspot.com/-4kPTnRVs-I4/VeQcYlhzOXI/AAAAAAAAPd0/jR1Cqh_rIj8/s640/IMG_20150829_174251.jpg)
Kikosi cha timu ya mchezo wa mpira wa pete ya Taswa Dar mara baada ya mechi kuisha.
![](http://1.bp.blogspot.com/-KYReZg6TQpw/VeQcr1TxESI/AAAAAAAAPd8/jH-c9sHwR70/s640/IMG_20150829_173251.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-kW-Ad1uRreM/VeQc7rfmWVI/AAAAAAAAPeE/W-O2GR8HAJM/s640/IMG_20150829_115708.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-rNBgNpdUrrM/VeQdPIFhErI/AAAAAAAAPeM/EzHdEvM2fV8/s640/IMG_20150829_115720.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-jfLDZORcJvM/VeQdo3OdqJI/AAAAAAAAPeU/4iniHINmrEU/s640/DSC00264.jpg)
Siku moja kabla ya bonanza waandishi wa habari wa mkoa wa Arusha walipata fursa ya kutembelea kiwanda cha bia ya TBL Arusha hapa mmoja wa wafanyakazi wa kampuni hiyo akiwa anawapa maelekezo ya jinsi kiwanda hicho kinavyoweza kufanya kazi ya kutengeneza bia kwa kutumia mashine na kompyuta.
![](http://2.bp.blogspot.com/-H94D2DsSF3c/VeQd-KqSigI/AAAAAAAAPec/jKDml_0ogqo/s640/DSC00237.jpg)
Woinde Shizza (wa pili kushoto) nikiwa na waandishi wa habari wakongwe mara baada tu ya kuwasili ndani ya kiwanda...
11 years ago
MichuziWINDHOEK BEER YADHAMINI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA KLABU YA BONGO MOVIE ITAKAYOFANYIKA KESHO NDANI YA UKUMBI WA EAST 24
10 years ago
Dewji Blog26 Mar
TASWA yawapiga msasa waandishi wa habari za michezo nchini
Mwenyekiti wa Baraza la Michezo Tanzania (BMT), Bw. Dioniz Malinzi, akimkabizi cheti Rajabu Mhamila baada ya mafunzo ya uhandishi wa habari kulia ni mwenyekiti wa TASWA Juma Pinto na Katibu Mkuu wa Mchezo wa Riadha nchini Suleiman Nyambu … (RT)
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila ‘Super D’ kulia akibadilishana mawazo na mwalimu wake wa habari za michezo Salim Said Salim wakati wa mapumziko mafupi ya mafunzo hayo yaliyoratibiwa na Taswa jana.
Baadhi ya waandishi...