AIRTEL YADHAMINI MAFUNZO YA WAANDISHI
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi  jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment.  Pichani katikati ni  Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani. ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s1600/unnamed.jpg)
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imesema itaendelea kuwajengeauwezo...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi wa habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s1600/unnamed.jpg)
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment. Pichani katikati ni Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lXITMgoExbM/U3ZVP048NSI/AAAAAAAFiHg/Rw4O4y3Rz8A/s1600/unnamed+(1).jpg)
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dm99ly9wi665I2Z0KDQXLivAeOTNkyq80KK66fduKW3XCEwdhYaEx5MF8G2L1aylP1d6QGKacvQvv9mTFyhvOvnG1Ce8rRyJ/1A.jpg)
MAWAKALA WA AIRTEL MONEY MKOA WA DAR ES SALAAM WAPATA MAFUNZO
11 years ago
GPLAIRTEL YAWEZESHA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA AFYA KIJIJI CHA MBOLA TABORA
11 years ago
Dewji Blog07 Aug
Benki ya Posta yadhamini klabu ya waandishi, TASWA SC
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Moses Manyata (wa kwanza kushoto)akikabidhi mfano wa hundi kwa mwenyekiti wa Taswa SC, Majuto Omary (wa kwanza kulia)ikiwa sehemu ya benki hiyo kusaidia michezo nchini. Katikati ni Afisa Mawasiliano wa wa benki hiyo, Chichi Hilda Banda.
Na Mwandishi wetu
Benki ya Posta Tanzania (TPB) imeidhamini klabu ya waandishi wa habari za michezo nchini (Taswa SC), kufuatia juhudi zake za kuhamasisha na kuendeleza michezo nchini.
Benki...
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Airtel yadhamini Tuzo ya Mwanamakuka 2014
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza kudhamini tuzo za Mwanamakuka zenye lengo la kusaidia wanawake kutoka katika maeneo mbalimbali kujiinua kiuchumi. Tuzo hizo zinaandaliwa na The Unity of...
11 years ago
GPLAIRTEL YAZINDUA LUKU OFA KUPITIA HUDUMA YA AIRTEL MONEY
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NEbifnOqun0*xsU4tU-0yv*sh*UU1XpSTHllDd96mNWzA1lz86ABe3NFPeNFGV1STwsqJGZd6K7eBcah3Pg-FBGdrzb449N4/1.jpg)
AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zdyFMqJvbXLvyqhgck5dDpAVwThApV30jUG26HRBK-KOWNWDFCcGdAhfCJU-Jn8V*HtPP8E3umND7WXgCHTa2HQc3WD3nG8t/Pic1.jpg?width=750)
AIRTEL YAIPELEKA AIRTEL TRACE MUSIC STARS MIKOANI