AIRTEL YAWEZESHA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA AFYA KIJIJI CHA MBOLA TABORA
Mfanyakazi wa huduma za afya bi Amina Wakasuvi akitoa huduma kwa moja ya familia katika kijiji cha mbola mkoani Tabora ambapo Airtel chini ya mradi wa millennium village imewawezesha wafanyakazi hao kutumia mtandao wa mawasiliano kutoa huduma za Afya. Akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa huduma za afya katika kijiji cha Mbola mkoani Tabora namna ya kutumia huduma ya mawasiliao ya simu kutoa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziAirtel yawezesha mafunzo kwa wafanyakazi wa Afya kijiji cha Mbola Tabora
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Airtel yawapatia mafunzo wafanyakazi wa afya
WAFANYAKAZI wa afya wa Kijiji cha Mbola, mkoani Tabora, wameishukuru Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kutokana na teknolojia ya huduma ya mawasiliano inayowawezesha kutoa huduma za afya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ffqvx4jdF-o/VbEqWBptAxI/AAAAAAAHrVE/k9L98A2rH7s/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/U9cJ436L1lfn6gSSD4gE-2W*cAZ1egI9vyB4fBQjYjHxGjG0mB1YbOm3lImAJtkNj0N1oq2wU9X3FtgHt2s8QXi9EY-hpLYj/PIC1.jpg)
AIRTEL YAENDESHA PROGRAM MAALUMU KWA WATOTO WA WAFANYAKAZI WAKE
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
9 years ago
MichuziBenki ya NBC yawezesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Rais Kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana Sikonge mkoani Tabora
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana Pathfinders Green City katika kata ya Igigwa wilayani Sikonge jana.Rais Kikwete yupo Mkoani Tabora kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ambapo pia atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha mbio za Mwenge leo.watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selenga.
Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Rais Kikwete azindua kijiji cha Mfano cha Vijana Sikonge mkoani Tabora leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tY-wYVSeABI/VDws0ZrQG3I/AAAAAAAGp98/8Lxg-ZiGWT0/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
11 years ago
GPLAIRTEL YADHAMINI MAFUNZO YA WAANDISHI