Airtel yawezesha mafunzo kwa wafanyakazi wa Afya kijiji cha Mbola Tabora
Wafanyakazi wa huduma za afya katika kijiji cha Mbola mkoani Tabora wakijaribu namna ya kutumia simu zao mara baada ya mafunzo ambapo Airtel inawawezesha kutumia simu zao kutoa huduma za Afya chini ya mradi wa millennium village.
Akitoa mafunzo kwa wafanyakazi wa huduma za afya katika kijiji cha Mbola mkoani Tabora namna ya kutumia huduma ya mawasiliao ya simu kutoa huduma za kiafya Ambapo Airtel imewapatia wafanyakazi hao huduma ya internet , message na simu bure na kuwawezesha kufanya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLAIRTEL YAWEZESHA MAFUNZO KWA WAFANYAKAZI WA AFYA KIJIJI CHA MBOLA TABORA
11 years ago
Tanzania Daima12 Jun
Airtel yawapatia mafunzo wafanyakazi wa afya
WAFANYAKAZI wa afya wa Kijiji cha Mbola, mkoani Tabora, wameishukuru Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania kutokana na teknolojia ya huduma ya mawasiliano inayowawezesha kutoa huduma za afya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Ffqvx4jdF-o/VbEqWBptAxI/AAAAAAAHrVE/k9L98A2rH7s/s72-c/unnamed%2B%252823%2529.jpg)
Wakazi wa Kijiji cha Kingwang’oko Tabora wapatiwa huduma za mawasiliano na Airtel
5 years ago
MichuziAirtel Tanzania yachangia sh. 700 milioni kwa wafanyakazi wa sekta ya afya dhidi ya mapambano ya COVID-19
(kushoto) mfano wa hundi ya shilingi milioni saba (TZS 700,000,000) ukiwa ni mchango wa Airtel Tanzania kuunga mkono serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mapambano dhidi ya virusi vya covid-19 (corona). Mchango uliotolewa na Airtel utatumika kununua vifaa kinga vitakavyosambazwa nchi nzima ili vitumike na...
9 years ago
MichuziBenki ya NBC yawezesha mafunzo ya ujasiriamali kwa vijana
10 years ago
Dewji Blog14 Oct
Rais Kikwete azindua kijiji cha mfano cha vijana Sikonge mkoani Tabora
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi wakati wa uzinduzi wa kijiji cha mfano cha vijana Pathfinders Green City katika kata ya Igigwa wilayani Sikonge jana.Rais Kikwete yupo Mkoani Tabora kwa ziara ya kikazi ya siku mbili kukagua na kuzindua miradi ya maendeleo ambapo pia atakuwa mgeni rasmi katika kilele cha mbio za Mwenge leo.watatu kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Tabora Bi.Fatma Mwassa na wapili kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Sikonge Bi.Hanifa Selenga.
Rais...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Rais Kikwete azindua kijiji cha Mfano cha Vijana Sikonge mkoani Tabora leo
![](http://1.bp.blogspot.com/-GYtgXPU4gm8/VDwsz_iBB8I/AAAAAAAGp94/kuZADx8oXhQ/s1600/unnamed%2B(1).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-tY-wYVSeABI/VDws0ZrQG3I/AAAAAAAGp98/8Lxg-ZiGWT0/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Etihad yafungua Kituo cha Afya Hadhi ya Kimataifa kwa Wafanyakazi Wake Abu Dhabi
Ukataji wa Utepe mwekundu (Kutoka kushoto kwenda kulia): Naser Al Mazroei, Mkurugenzi mtendaji kitengo cha huduma kwa wateja katika mamlaka ya vitambulisho Emirates; Ray Gammell, Afisa mkuu wa Utendaji na Watu kutoka Shirika la ndege la Etihad; Dk Nadia Bastaki, Makamu rais huduma za matibabu; Dk Mariam Buti Al Mazrouei, Kaimu afisa mtendaji wa Ambulatory Healthcare Services; and Dk. Mubarak Al Darmaki, Kaimu afisa mkuu wa kliniki kutoka Ambulatory Healthcare Services.
Shirika la ndege la...
10 years ago
Michuzi17 Oct