Airtel yadhamini Tuzo ya Mwanamakuka 2014
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza kudhamini tuzo za Mwanamakuka zenye lengo la kusaidia wanawake kutoka katika maeneo mbalimbali kujiinua kiuchumi. Tuzo hizo zinaandaliwa na The Unity of...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziAIRTEL yakabidhi shilingi million Tano kwa wanawake kwa ajili ya Tuzo ya Mwanamakuka 2014
Afisa uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (kushoto) akimkabithi mfano wa hundimwenyekiti na Mratibu wa Mradi wa The Unity of Women friends Maryam Shamo wakati wa halfa ya Tuzo za Mwanamakuka 2014 ambapo Airtel Tanzania ni moja kati ya Wadhamini wa tuzo hizo, Bi Leil Mwambungu aliibuka na kutangazwa mshindi wa mwanamakuka 2014. Akishuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Bank ya Wanawake Tanzania Bi Margreth Chacha (wakwanza kulia), Hafla ya mwanamakuka ilifanyika jana katika ukumbi wa Escape 1...
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--lhFh87OC4Q/UykUfUSfIoI/AAAAAAACc48/5Y9Z2uB_GfA/s1600/New+Picture+%282%29.png)
TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
Picha ya Kikundi, baadhi ya members wa UWF na washindi wa miaka ya nyuma pamoja na Mshindi mpya wa Mwaka 2014 wakiwa katika picha ya pamoja.
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends…
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s72-c/New+Picture+(10).png)
PICHA ZA TUKIO LA TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s1600/New+Picture+(10).png)
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends Bi.Mariam Shamo,mwishoni Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake,Bi Magreth Chacha.Hafla hiyo iliofana kwa kiasi kikubwa ilifanyika kwenye kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar mwishoni mwa wiki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKcO7FuvqPQ/UykS2U5br_I/AAAAAAACc4c/Ld8VW6Yt1d0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-toLwYceeN9w/UykTG3pxDJI/AAAAAAACc4k/e1KI9j7Yvhk/s1600/New+Picture+(6).png)
11 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014
Meneja Mradi wa Mwanamakuka Bi.Maryam Shamo akizungumzia maandalizi ya tuzo hizo.Mkurugenzi wa benki ya Wanawake Tanzania,Bi Margareth Chacha akizungumzia namna benki yake inavyoweza kuwasaidia Wanawake nchini,ambaye pia ni Mdau mkubwa wa Tuzo za Mwanamakuka
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s72-c/20140320_120840-1.jpg)
MSHINDI WA TUZO YA MWANAMAKUKA AKATIWA BIMA YA KULINDA BIASHARA YAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s1600/20140320_120840-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dCOC5XZx5ek/UywDbh4qaxI/AAAAAAACdJI/pqOavpgCf5k/s1600/20140320_121313_edit.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi
![](http://1.bp.blogspot.com/-ug2JPYJF3nQ/U3X2UntNWhI/AAAAAAAChIk/XlCjHx877XQ/s1600/unnamed.jpg)
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imesema itaendelea kuwajengeauwezo...
11 years ago
GPLAIRTEL YADHAMINI MAFUNZO YA WAANDISHI
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel. Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi  jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment.  Pichani katikati ni  Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani. ...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s72-c/unnamed.jpg)
Airtel yadhamini Mafunzo ya waandishi wa habari
![](http://1.bp.blogspot.com/-wfcIGoEVJAM/U3ZVPJ-kRpI/AAAAAAAFiHc/AZh-9xFwLWI/s1600/unnamed.jpg)
Mwenzeshaji wa Mafunzo ya waandishi wa habari bwana Ndimata Tegambwage akiongea wakati wa uzinduzi wa Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania imedhamini mafunzo ya wapigapicha yatakayofanyika kuanzia kesho katika kituo cha Msimbazi jijini Dar es Salaam kwa kushirikiana na MP5 2011 Entertainment. Pichani katikati ni Afisa mawasiliano na Matukio bi Dangio Kaniki akifatiwa na mratibu wa semina Mpochi Selemani.
![](http://3.bp.blogspot.com/-lXITMgoExbM/U3ZVP048NSI/AAAAAAAFiHg/Rw4O4y3Rz8A/s1600/unnamed+(1).jpg)
10 years ago
MichuziChibuku Super yadhamini Uhuru Marathon 2014
KAMPUNI ya Bia za asili ya Darbrew (TBL) kupitia bia yake ya asili ya Chibuku super imetangaza kudhamini mashindano ya mbio ndefu za Uhuru ‘Uhuru Marathon’ kwa kiasi cha Sh. milioni 6.
Akitangaza udhamini huo...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania