Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014


Picha ya Kikundi, baadhi ya members wa UWF na  washindi wa miaka ya nyuma pamoja na Mshindi mpya wa Mwaka 2014 wakiwa katika picha ya pamoja.
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

PICHA ZA TUKIO LA TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014


Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends Bi.Mariam Shamo,mwishoni Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake,Bi Magreth Chacha.Hafla hiyo iliofana kwa kiasi kikubwa ilifanyika kwenye kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar mwishoni mwa wiki. Mshindi wa Awards 2014,Bi Leila Mwambungu akiangua kilio baada ya kutangazwa mshindi wa Tuzo ya Mwanamakuka. Maryam Shamo, Mwenyekiti wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Airtel yadhamini Tuzo ya Mwanamakuka 2014

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel  imetangaza kudhamini tuzo za Mwanamakuka zenye lengo la kusaidia wanawake kutoka katika maeneo mbalimbali kujiinua kiuchumi. Tuzo  hizo zinaandaliwa na The Unity of...

 

11 years ago

Michuzi

BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014

 Meneja Mradi wa Mwanamakuka Bi.Maryam Shamo akizungumzia maandalizi ya tuzo hizo.Mkurugenzi wa benki ya Wanawake Tanzania,Bi Margareth Chacha akizungumzia namna benki yake inavyoweza kuwasaidia Wanawake nchini,ambaye pia ni Mdau mkubwa wa Tuzo za Mwanamakuka

 

11 years ago

Michuzi

AIRTEL yakabidhi shilingi million Tano kwa wanawake kwa ajili ya Tuzo ya Mwanamakuka 2014

 
Afisa uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (kushoto) akimkabithi mfano wa hundimwenyekiti na Mratibu wa Mradi wa The Unity of Women friends Maryam Shamo wakati wa halfa ya Tuzo za Mwanamakuka 2014 ambapo Airtel Tanzania ni moja kati ya Wadhamini wa tuzo hizo,  Bi Leil Mwambungu aliibuka na kutangazwa mshindi wa mwanamakuka 2014. Akishuhudia ni Mkurugenzi  Mkuu wa Bank ya Wanawake  Tanzania Bi Margreth Chacha (wakwanza kulia), Hafla ya mwanamakuka ilifanyika jana katika ukumbi wa Escape 1...

 

10 years ago

Bongo5

Sarkodie wa Ghana achukua tuzo ya Headies Awards 2014 ambayo Diamond alikuwa akishindania

Jumapili Dec.14 nchini Nigeria zimetolewa tuzo za Headies Awards 2014 ambazo msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz alikuwa akishindania, lakini safari hii haikuwa bahati yetu kwasababu hakufanikiwa kushinda. Sarkodie wa Ghana ndiye aliyeshinda kipengele cha BEST AFRICAN ARTISTE ambacho Diamond alikuwa akishindania. Wasanii wengine waliokuwa wakiwania kipengele hicho ni Mafikizolo (South Africa) pamoja na R2Bees (Ghana). […]

 

10 years ago

Bongo5

Davido awa msanii pekee wa Afrika anayewania tuzo za ‘Soul Train Awards 2014’ Marekani

Staa wa Nigeria Davido ametajwa kuwania kipengele cha ‘Best International Performance’ kupitia hit yake ‘Aye’ kwenye tuzo za ‘Soul Train Awards 2014′ zilizopangwa kutolewa November 7 huko Las Vegas, Marekani na baadae kuoneshwa kupitia Centric na BET November 30. Davido ndiye msanii pekee wa Afrika aliyetajwa kuwania tuzo hizo. Katika kipengele hicho Davido anachuana na […]

 

11 years ago

Michuzi

MSHINDI WA TUZO YA MWANAMAKUKA AKATIWA BIMA YA KULINDA BIASHARA YAKE.

 Mkurugenzi mtendaji wa Fortis Insurance Brokers Ltd , Bi Maryam Shamo.( wa pili Kulia) akimkabidhi Mshindi wa mwanamakuka 2014‎, nyaraka zake za Bima. Wengine ni wafanyakazi wa kampuni hio. Mshindi wa Mwanamakuka 2014, Bi Leyla Mwambungu, baada ya kujinyakulia Tuzo ya Million Tatu, kweye Tuzo za Mwanamakuka Awards, ambazo zinaandaliwa na Unity Of Women Friends. Fortis Insurance Brokers Ltd, Imeamua kulinda Biashara yake Kuwa kwa kumkatia Bima ya Moto Na Wizi, Ili Biashara yake isije...

 

10 years ago

Michuzi

Zuriel Oduwole Steals The Show at Africas Biggest Movie Awards Night - 2014 Nollywood Movies Awards

It was billed as the Centenary Celebrations edition of the 2014 Nollywood Movies Awards night at the prestigious Intercontinental Hotel in Victoria Island - Lagos last Saturday. The actors, producers, directors, and movie faithful filed past the "Red Carpet" into the events main auditorium. However, the star attraction right from the Red Carpet was a new face to Nigeria's movie making industry.
Zuriel Oduwole, at 12 years old was a fresh, young, bright, and eloquent attraction, from the...

 

11 years ago

Dewji Blog

Women Advancement Forum 2014 & AWARDS: 25-29 May: Expect great things at WAF 2014 in Banjul!

Untitled

Women Advancement Forum (WAF) is Africa’s most attended gender conference

Her Excellency (Mrs) Zineb Jammeh, First Lady, The Gambia,

Her Excellency, Dr. Isatou Njie Saidy, Vice President,The Gambia,

Her Excellency, Mrs Sia Koroma, First Lady, Republic of Sierra Leone,

Her Excellency,  Madame Marieme Faye Sall, First Lady,  Republic of Senegal,

Her Excellency, Mrs. Olufunso Amosun, First Lady Ogun State, Nigeria,

Ms. Almas Jiwani, President, UN Women (National Committee) Canada,

Mr. Peter...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani