TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/--lhFh87OC4Q/UykUfUSfIoI/AAAAAAACc48/5Y9Z2uB_GfA/s1600/New+Picture+%282%29.png)
Picha ya Kikundi, baadhi ya members wa UWF na washindi wa miaka ya nyuma pamoja na Mshindi mpya wa Mwaka 2014 wakiwa katika picha ya pamoja. Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s72-c/New+Picture+(10).png)
PICHA ZA TUKIO LA TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s1600/New+Picture+(10).png)
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends Bi.Mariam Shamo,mwishoni Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake,Bi Magreth Chacha.Hafla hiyo iliofana kwa kiasi kikubwa ilifanyika kwenye kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar mwishoni mwa wiki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKcO7FuvqPQ/UykS2U5br_I/AAAAAAACc4c/Ld8VW6Yt1d0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-toLwYceeN9w/UykTG3pxDJI/AAAAAAACc4k/e1KI9j7Yvhk/s1600/New+Picture+(6).png)
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
Airtel yadhamini Tuzo ya Mwanamakuka 2014
KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imetangaza kudhamini tuzo za Mwanamakuka zenye lengo la kusaidia wanawake kutoka katika maeneo mbalimbali kujiinua kiuchumi. Tuzo hizo zinaandaliwa na The Unity of...
11 years ago
Michuzi17 Feb
BENKI YA WANAWAKE TANZANIA YAJITOSA KUPIGA JEKI MAANDALIZI YA TUZO YA MWANAMAKUKA 2014
11 years ago
MichuziAIRTEL yakabidhi shilingi million Tano kwa wanawake kwa ajili ya Tuzo ya Mwanamakuka 2014
Afisa uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde (kushoto) akimkabithi mfano wa hundimwenyekiti na Mratibu wa Mradi wa The Unity of Women friends Maryam Shamo wakati wa halfa ya Tuzo za Mwanamakuka 2014 ambapo Airtel Tanzania ni moja kati ya Wadhamini wa tuzo hizo, Bi Leil Mwambungu aliibuka na kutangazwa mshindi wa mwanamakuka 2014. Akishuhudia ni Mkurugenzi Mkuu wa Bank ya Wanawake Tanzania Bi Margreth Chacha (wakwanza kulia), Hafla ya mwanamakuka ilifanyika jana katika ukumbi wa Escape 1...
10 years ago
Bongo515 Dec
Sarkodie wa Ghana achukua tuzo ya Headies Awards 2014 ambayo Diamond alikuwa akishindania
10 years ago
Bongo514 Oct
Davido awa msanii pekee wa Afrika anayewania tuzo za ‘Soul Train Awards 2014’ Marekani
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s72-c/20140320_120840-1.jpg)
MSHINDI WA TUZO YA MWANAMAKUKA AKATIWA BIMA YA KULINDA BIASHARA YAKE.
![](http://4.bp.blogspot.com/-W1Pi5Of2Cpg/UywDb8M8HiI/AAAAAAACdJM/q3zMDAx0KPM/s1600/20140320_120840-1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dCOC5XZx5ek/UywDbh4qaxI/AAAAAAACdJI/pqOavpgCf5k/s1600/20140320_121313_edit.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-0yLUoaHjXxg/VEeaiGWhIjI/AAAAAAAGsns/fcuuvZZg7vU/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Zuriel Oduwole Steals The Show at Africas Biggest Movie Awards Night - 2014 Nollywood Movies Awards
Zuriel Oduwole, at 12 years old was a fresh, young, bright, and eloquent attraction, from the...
11 years ago
Dewji Blog27 Apr
Women Advancement Forum 2014 & AWARDS: 25-29 May: Expect great things at WAF 2014 in Banjul!
Women Advancement Forum (WAF) is Africa’s most attended gender conference
Her Excellency (Mrs) Zineb Jammeh, First Lady, The Gambia,
Her Excellency, Dr. Isatou Njie Saidy, Vice President,The Gambia,
Her Excellency, Mrs Sia Koroma, First Lady, Republic of Sierra Leone,
Her Excellency, Madame Marieme Faye Sall, First Lady, Republic of Senegal,
Her Excellency, Mrs. Olufunso Amosun, First Lady Ogun State, Nigeria,
Ms. Almas Jiwani, President, UN Women (National Committee) Canada,
Mr. Peter...