Sarkodie wa Ghana achukua tuzo ya Headies Awards 2014 ambayo Diamond alikuwa akishindania
Jumapili Dec.14 nchini Nigeria zimetolewa tuzo za Headies Awards 2014 ambazo msanii wa Tanzania, Diamond Platnumz alikuwa akishindania, lakini safari hii haikuwa bahati yetu kwasababu hakufanikiwa kushinda. Sarkodie wa Ghana ndiye aliyeshinda kipengele cha BEST AFRICAN ARTISTE ambacho Diamond alikuwa akishindania. Wasanii wengine waliokuwa wakiwania kipengele hicho ni Mafikizolo (South Africa) pamoja na R2Bees (Ghana). […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo530 Sep
Diamond tena, kwenye tuzo za Headies 2015 za Nigeria
10 years ago
Bongo501 Dec
Mambo mawili ambayo Cassper Nyovest na Diamond walifanana siku ya tuzo za Channel O
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/--lhFh87OC4Q/UykUfUSfIoI/AAAAAAACc48/5Y9Z2uB_GfA/s1600/New+Picture+%282%29.png)
TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
10 years ago
Bongo528 Feb
Diamond atajwa kuwania kipengele cha ‘African Artiste of The Year’ kwenye Ghana Music Awards
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s72-c/New+Picture+(10).png)
PICHA ZA TUKIO LA TUZO YA MWANAMAKUKA AWARDS 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/--BgOUAPyML4/UykU8QrcZzI/AAAAAAACc5E/pZAzpsrKNZw/s1600/New+Picture+(10).png)
Bi Jane Matinde, Ofisa wa maosiano wa Airtel, akikabidhi hundi ya udhamini ya million tano, kwa mwenyekiti wa UWF, Unity Of Women Friends Bi.Mariam Shamo,mwishoni Kulia ni Mkurugenzi Mkuu wa benki ya Wanawake,Bi Magreth Chacha.Hafla hiyo iliofana kwa kiasi kikubwa ilifanyika kwenye kiota cha maraha cha Escape One,Mikocheni jijini Dar mwishoni mwa wiki.
![](http://2.bp.blogspot.com/-XKcO7FuvqPQ/UykS2U5br_I/AAAAAAACc4c/Ld8VW6Yt1d0/s1600/New+Picture+(5).png)
![](http://3.bp.blogspot.com/-toLwYceeN9w/UykTG3pxDJI/AAAAAAACc4k/e1KI9j7Yvhk/s1600/New+Picture+(6).png)
10 years ago
CloudsFM01 Dec
DIAMOND ATWAA TUZO TATU ZA CHANNEL O MUSIC AWARDS
Mpenzi wa sasa wa Diamond,Zari akiwa amebeba tuzo.
Mama Diamond,Diamond na Zari wakipita kwenye red carpet.
Madam Rita na Salam Jabir wakimsapoti Diamond.
Diamond akiwa na mameneja wake Babu Tale na Mkubwa Fela.
Most Gifted West Video
‘Turn Up-Olamide
Most Gifted Ragga/Dancehall
Buffalo Soulja
The Most Gifted Kwaito
Uhuru ft Oskido & Professor Kalawa -tjukutja
Most Gifted East Video
Diamond Platnumz
Most Gifted Dance Video
Busiswa-Ngoku
Most Gifted...
10 years ago
Bongo508 Dec
Diamond ashinda tuzo nyingine Nigeria ‘The Future Awards Africa’
9 years ago
Bongo505 Sep
Diamond ampiga mweleka Wizkid kwenye tuzo za ‘Uganda Entertainment Awards’